< Zaburi 116 >
1 Ninampenda Bwana kwa maana amesikia sauti yangu; amesikia kilio changu ili anihurumie.
Ay-ayatek ni Yahweh gapu ta dengdenggenna ti timekko ken dagiti panagpakpakaasik.
2 Kwa sababu amenitegea sikio lake, nitamwita siku zote za maisha yangu.
Gapu ta ipangpangagnak, umawagak kenkuana iti unos ti panagbiagko.
3 Kamba za mauti zilinizunguka, maumivu makuu ya kuzimu yalinipata, nikalemewa na taabu na huzuni. (Sheol )
Pinalikmutandak dagiti tali ti patay, ken tinubngarnak ti palab-og ti sheol; nakariknaak iti sanaang ken ladingit. (Sheol )
4 Ndipo nikaliitia jina la Bwana: “Ee Bwana, niokoe!”
Ket immawagak iti nagan ni Yahweh: “Pangngaasim O Yahweh, ispalem ti biagko.”
5 Bwana ni mwenye neema na haki, Mungu wetu ni mwingi wa huruma.
Naasi ken awan panangidumduma ni Yahweh; manangngaasi ti Diostayo.
6 Bwana huwalinda wanyenyekevu, nilipokuwa katika shida kubwa, aliniokoa.
Salakniban ni Yahweh dagiti awan gayawna; naipababaak ket insalakannak.
7 Ee nafsi yangu, tulia tena, kwa kuwa Bwana amekuwa mwema kwako.
Mabalinen nga agsubli ti kararruak iti paginanaanna, ta nagimbag ni Yahweh kaniak.
8 Kwa kuwa wewe, Ee Bwana, umeniokoa nafsi yangu na mauti, macho yangu kutokana na machozi, miguu yangu kutokana na kujikwaa,
Ta inispalmo ti biagko manipud iti patay, dagiti matak manipud kadagiti lulua, ken dagiti sakak manipud iti pannakaitublak.
9 ili niweze kutembea mbele za Bwana, katika nchi ya walio hai.
Agserbiak kenni Yahweh iti daga dagiti sibibiag.
10 Niliamini, kwa hiyo nilisema, “Mimi nimeteseka sana.”
Namatiak kenkuana, uray idi imbagak “Kasta unay ti panagsagabak.”
11 Katika taabu yangu nilisema, “Wanadamu wote ni waongo.”
Dagusko nga imbaga, “Ulbod dagiti amin a tattao.”
12 Nimrudishie Bwana nini kwa wema wake wote alionitendea?
Kasano a masubadak ni Yahweh kadagiti amin a kinaimbagna kaniak?
13 Nitakiinua kikombe cha wokovu na kulitangaza jina la Bwana.
Itag-aykonto ti kopa ti pannakaisalakan, ken umawagak iti nagan ni Yahweh.
14 Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana mbele za watu wake wote.
Tungpalekto dagiti sapatak kenni Yahweh iti imatang dagiti amin a tattaona.
15 Kifo cha watakatifu kina thamani machoni pa Bwana.
Napateg iti imatang ni Yahweh ti ipapatay dagiti santona.
16 Ee Bwana, hakika mimi ni mtumishi wako, mimi ni mtumishi wako, mwana wa mjakazi wako; umeniweka huru toka katika minyororo yangu.
Pudno, O Yahweh, adipennak; adipennak, ti anak a lalaki ti adipenmo a babai; winarwarmo dagiti kawarko.
17 Nitakutolea dhabihu ya kukushukuru na kuliita jina la Bwana.
Idatonkonto kenka ti daton ti panagyaman ken umawagakto iti nagan ni Yahweh.
18 Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana mbele za watu wake wote,
Tungpalekto dagiti sapatak kenni Yahweh iti imatang dagiti amin a tattaona,
19 katika nyua za nyumba ya Bwana, katikati yako, ee Yerusalemu. Msifuni Bwana.
kadagiti paraangan ti balay ni Yahweh, iti tengngam, Jerusalem. Idaydayawyo ni Yahweh.