< Zaburi 116 >
1 Ninampenda Bwana kwa maana amesikia sauti yangu; amesikia kilio changu ili anihurumie.
to love: lover for to hear: hear LORD [obj] voice my supplication my
2 Kwa sababu amenitegea sikio lake, nitamwita siku zote za maisha yangu.
for to stretch ear his to/for me and in/on/with day my to call: call to
3 Kamba za mauti zilinizunguka, maumivu makuu ya kuzimu yalinipata, nikalemewa na taabu na huzuni. (Sheol )
to surround me cord death and terror hell: Sheol to find me distress and sorrow to find (Sheol )
4 Ndipo nikaliitia jina la Bwana: “Ee Bwana, niokoe!”
and in/on/with name LORD to call: call to Please! LORD to escape [emph?] soul my
5 Bwana ni mwenye neema na haki, Mungu wetu ni mwingi wa huruma.
gracious LORD and righteous and God our to have compassion
6 Bwana huwalinda wanyenyekevu, nilipokuwa katika shida kubwa, aliniokoa.
to keep: guard simple LORD to languish and to/for me to save
7 Ee nafsi yangu, tulia tena, kwa kuwa Bwana amekuwa mwema kwako.
to return: return soul my to/for resting your for LORD to wean upon you
8 Kwa kuwa wewe, Ee Bwana, umeniokoa nafsi yangu na mauti, macho yangu kutokana na machozi, miguu yangu kutokana na kujikwaa,
for to rescue soul my from death [obj] eye my from tears [obj] foot my from falling
9 ili niweze kutembea mbele za Bwana, katika nchi ya walio hai.
to go: walk to/for face: before LORD in/on/with land: country/planet [the] alive
10 Niliamini, kwa hiyo nilisema, “Mimi nimeteseka sana.”
be faithful for to speak: speak I to afflict much
11 Katika taabu yangu nilisema, “Wanadamu wote ni waongo.”
I to say in/on/with to hurry I all [the] man to lie
12 Nimrudishie Bwana nini kwa wema wake wote alionitendea?
what? to return: pay to/for LORD all benefit his upon me
13 Nitakiinua kikombe cha wokovu na kulitangaza jina la Bwana.
cup salvation to lift: raise and in/on/with name LORD to call: call to
14 Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana mbele za watu wake wote.
vow my to/for LORD to complete before [to] please to/for all people his
15 Kifo cha watakatifu kina thamani machoni pa Bwana.
precious in/on/with eye: seeing LORD [the] death [to] to/for pious his
16 Ee Bwana, hakika mimi ni mtumishi wako, mimi ni mtumishi wako, mwana wa mjakazi wako; umeniweka huru toka katika minyororo yangu.
Please! LORD for I servant/slave your I servant/slave your son: child maidservant your to open to/for bond my
17 Nitakutolea dhabihu ya kukushukuru na kuliita jina la Bwana.
to/for you to sacrifice sacrifice thanksgiving and in/on/with name LORD to call: call to
18 Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana mbele za watu wake wote,
vow my to/for LORD to complete before [to] please to/for all people his
19 katika nyua za nyumba ya Bwana, katikati yako, ee Yerusalemu. Msifuni Bwana.
in/on/with court house: temple LORD in/on/with midst your Jerusalem to boast: praise LORD