< Zaburi 116 >
1 Ninampenda Bwana kwa maana amesikia sauti yangu; amesikia kilio changu ili anihurumie.
Ljubim Jahvu jer čuje vapaj molitve moje:
2 Kwa sababu amenitegea sikio lake, nitamwita siku zote za maisha yangu.
uho svoje prignu k meni u dan u koji ga zazvah.
3 Kamba za mauti zilinizunguka, maumivu makuu ya kuzimu yalinipata, nikalemewa na taabu na huzuni. (Sheol )
Užeta smrti sapeše me, stegoše me zamke Podzemlja, snašla me muka i tjeskoba. (Sheol )
4 Ndipo nikaliitia jina la Bwana: “Ee Bwana, niokoe!”
Tada zazvah ime Jahvino: “O Jahve, spasi život moj!”
5 Bwana ni mwenye neema na haki, Mungu wetu ni mwingi wa huruma.
Dobrostiv je Jahve i pravedan, pun sućuti je Bog naš.
6 Bwana huwalinda wanyenyekevu, nilipokuwa katika shida kubwa, aliniokoa.
Jahve čuva bezazlene: u nevolji bijah, on me izbavi.
7 Ee nafsi yangu, tulia tena, kwa kuwa Bwana amekuwa mwema kwako.
Vrati se, dušo moja, u svoj pokoj, jer Jahve je dobrotvor tvoj.
8 Kwa kuwa wewe, Ee Bwana, umeniokoa nafsi yangu na mauti, macho yangu kutokana na machozi, miguu yangu kutokana na kujikwaa,
On mi život od smrti izbavi, oči moje od suza, noge od pada.
9 ili niweze kutembea mbele za Bwana, katika nchi ya walio hai.
Hodit ću pred licem Jahvinim u zemlji živih.
10 Niliamini, kwa hiyo nilisema, “Mimi nimeteseka sana.”
Ja vjerujem i kada kažem: “Nesretan sam veoma.”
11 Katika taabu yangu nilisema, “Wanadamu wote ni waongo.”
U smetenosti svojoj rekoh: “Svaki je čovjek lažac!”
12 Nimrudishie Bwana nini kwa wema wake wote alionitendea?
Što da uzvratim Jahvi za sve što mi je učinio?
13 Nitakiinua kikombe cha wokovu na kulitangaza jina la Bwana.
Uzet ću čašu spasenja i zazvat ću ime Jahvino.
14 Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana mbele za watu wake wote.
Izvršit ću Jahvi zavjete svoje pred svim pukom njegovim.
15 Kifo cha watakatifu kina thamani machoni pa Bwana.
Dragocjena je u očima Jahvinim smrt pobožnika njegovih.
16 Ee Bwana, hakika mimi ni mtumishi wako, mimi ni mtumishi wako, mwana wa mjakazi wako; umeniweka huru toka katika minyororo yangu.
Jahve, tvoj sam sluga, tvoj sluga, sin sluškinje tvoje: ti si razriješio okove moje.
17 Nitakutolea dhabihu ya kukushukuru na kuliita jina la Bwana.
Tebi ću prinijeti žrtve zahvalne, zazvat ću ime Jahvino.
18 Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana mbele za watu wake wote,
Izvršit ću Jahvi zavjete svoje pred svim pukom njegovim,
19 katika nyua za nyumba ya Bwana, katikati yako, ee Yerusalemu. Msifuni Bwana.
u predvorjima Doma Jahvina, posred tebe, Jeruzaleme!