< Zaburi 116 >
1 Ninampenda Bwana kwa maana amesikia sauti yangu; amesikia kilio changu ili anihurumie.
Na da Hina Gode dogolegesa. Bai E da na sia: ne gadosu naba.
2 Kwa sababu amenitegea sikio lake, nitamwita siku zote za maisha yangu.
Na da eso huluane Ema wele sia: sea, E da na wele sia: su naba.
3 Kamba za mauti zilinizunguka, maumivu makuu ya kuzimu yalinipata, nikalemewa na taabu na huzuni. (Sheol )
Na da baligiliwane da: i dioi amola beda: i galu. Bai na bogole, bogoi uli dogoiga gudu sa: imu gadenene ba: i. (Sheol )
4 Ndipo nikaliitia jina la Bwana: “Ee Bwana, niokoe!”
Amalalu, na da Hina Godema amane wele sia: i, “Hina Gode! Na Dima ha: giwane edegesa! Na gaga: ma!”
5 Bwana ni mwenye neema na haki, Mungu wetu ni mwingi wa huruma.
Hina Gode Ea hou da noga: idafa, amola E da asigisa amola gogolema: ne olofosu dawa:
6 Bwana huwalinda wanyenyekevu, nilipokuwa katika shida kubwa, aliniokoa.
Hina Gode da gasa hamedei hahanibi dunu gaga: sa. Na bogomu se nabaloba, E da na gaga: i.
7 Ee nafsi yangu, tulia tena, kwa kuwa Bwana amekuwa mwema kwako.
Na da mae beda: iwane hahawane esalumu da defea. Bai Hina Gode da na noga: le fidi.
8 Kwa kuwa wewe, Ee Bwana, umeniokoa nafsi yangu na mauti, macho yangu kutokana na machozi, miguu yangu kutokana na kujikwaa,
Hina Gode da na bogosa: besa: le, gaga: i. E da na si hano logo ga: i amola na ha lai amoga mae hasalasima: ne hamoi.
9 ili niweze kutembea mbele za Bwana, katika nchi ya walio hai.
Amaiba: le, na da mae bogole, esaleawane, Hina Gode Ea midadi ahoa.
10 Niliamini, kwa hiyo nilisema, “Mimi nimeteseka sana.”
11 Katika taabu yangu nilisema, “Wanadamu wote ni waongo.”
Na da musa: amane sia: i, “Na da gugunufinisi dagoi.” Na da beda: iba: le amane sia: i, “Dunu huluanedafa da ilima dafawane hamoma: beyale dawa: mu da hamedei.” Be amomane na da Hina Godema dafawaneyale dawa: lusu hame fisi.
12 Nimrudishie Bwana nini kwa wema wake wote alionitendea?
Hina Gode da nama hou ida: iwane hamonanebeba: le, na da Ema adi ima: bela: ?
13 Nitakiinua kikombe cha wokovu na kulitangaza jina la Bwana.
E da na gaga: i dagoi. Amaiba: le, na Ema nodomusa: , waini hano iasu Ema imunusa: , gaguli misunu.
14 Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana mbele za watu wake wote.
Na da Ema imunusa: ilegei liligi, amo dunu ilia gilisisu amo ganodini, Ema imunu.
15 Kifo cha watakatifu kina thamani machoni pa Bwana.
Hina Gode Ea fi dunu afae bogosea, Gode E da se bagade naba.
16 Ee Bwana, hakika mimi ni mtumishi wako, mimi ni mtumishi wako, mwana wa mjakazi wako; umeniweka huru toka katika minyororo yangu.
Hina Gode! Na da Dia hawa: hamosu dunu. Na ame da Dima hawa: hamoi amo defele, na da Dima hawa: hamosa. Di da na mae bogoma: ne, gaga: i.
17 Nitakutolea dhabihu ya kukushukuru na kuliita jina la Bwana.
Na da Dima nodone gobele salimu, amola Dima nodone sia: ne gadomu.
18 Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana mbele za watu wake wote,
Dia dunu ilia gilisisu ganodini, Dia hadigi sogebi Yelusaleme Debolo diasu ganodini, na da Dima imunusa: ilegele sia: i liligi amo Dima imunu. Hina Godema nodoma!
19 katika nyua za nyumba ya Bwana, katikati yako, ee Yerusalemu. Msifuni Bwana.