< Zaburi 115 >

1 Sio kwetu sisi, Ee Bwana, sio kwetu sisi, bali utukufu ni kwa jina lako, kwa sababu ya upendo na uaminifu wako.
Ne nama, o Jahve, ne nama, već svom imenu slavu daj zbog ljubavi i vjernosti svoje.
2 Kwa nini mataifa waseme, “Yuko wapi Mungu wao?”
Zašto da govore pogani: “TÓa gdje je Bog njihov?”
3 Mungu wetu yuko mbinguni, naye hufanya lolote limpendezalo.
Naš je Bog na nebesima, sve što mu se svidi to učini.
4 Lakini sanamu zao ni za fedha na dhahabu, zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
Idoli su njihovi srebro i zlato, ljudskih su ruku djelo.
5 Zina vinywa, lakini haziwezi kusema, zina macho, lakini haziwezi kuona;
Usta imaju, a ne govore, oči imaju, a ne vide.
6 zina masikio, lakini haziwezi kusikia, zina pua, lakini haziwezi kunusa;
Uši imaju, a ne čuju, nosnice, a ne mirišu.
7 zina mikono, lakini haziwezi kupapasa, zina miguu, lakini haziwezi kutembea; wala koo zao haziwezi kutoa sauti.
Ruke imaju, a ne hvataju, noge imaju, a ne hodaju; glas im iz grla ne izlazi.
8 Wale wanaozitengeneza watafanana nazo, vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.
Takvi su i oni koji ih napraviše i svi koji se u njih uzdaju.
9 Ee nyumba ya Israeli, mtumainini Bwana, yeye ni msaada na ngao yao.
Dome Izraelov, u Jahvu se uzdaj! - On je štit i pomoćnik njihov.
10 Ee nyumba ya Aroni, mtumainini Bwana, yeye ni msaada na ngao yao.
Dome Aronov, u Jahvu se uzdaj! - On je štit i pomoćnik njihov.
11 Ninyi mnaomcha, mtumainini Bwana, yeye ni msaada na ngao yao.
Štovatelji Jahvini, u Jahvu se uzdajte! - On je štit i pomoćnik njihov.
12 Bwana anatukumbuka na atatubariki: ataibariki nyumba ya Israeli, ataibariki nyumba ya Aroni,
Jahve će se nas spomenut' i on će nas blagoslovit': blagoslovit će dom Izraelov, blagoslovit će dom Aronov,
13 atawabariki wale wanaomcha Bwana, wadogo kwa wakubwa.
blagoslovit će one koji se Jahve boje - i male i velike.
14 Bwana na awawezeshe kuongezeka, ninyi na watoto wenu.
Umnožio vas Jahve, vas i vaše sinove!
15 Mbarikiwe na Bwana Muumba wa mbingu na dunia.
Blagoslovio vas Jahve koji stvori nebo i zemlju!
16 Mbingu zilizo juu sana ni mali ya Bwana, lakini dunia amempa mwanadamu.
Nebo je nebo Jahvino, a zemlju dade sinovima čovječjim.
17 Sio wafu wanaomsifu Bwana, wale washukao mahali pa kimya,
Ne, Jahvu mrtvi ne hvale, nitko od onih što siđu u Podzemlje.
18 bali ni sisi tunaomtukuza Bwana, sasa na hata milele. Msifuni Bwana.
Mi živi, mi Jahvu slavimo sada i dovijeka. Aleluja.

< Zaburi 115 >