< Zaburi 114 >
1 Wakati Israeli walipotoka Misri, nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,
Israil Misirdin, Yaqup jemeti yat tilliq ellerdin chiqqanda,
2 Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu, Israeli akawa milki yake.
Shu chaghda Yehuda [Xudaning] muqeddes jayi, Israil uning seltiniti boldi,
3 Bahari ilitazama ikakimbia, Yordani ulirudi nyuma,
Déngiz buni körüp beder qachti, Iordan deryasi keynige yandi;
4 milima ilirukaruka kama kondoo dume, vilima kama wana-kondoo.
Taghlar qochqarlardek, Döngler qozilardek oynaqlidi.
5 Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia, nawe, ee Yordani, ukarudi nyuma,
Ey déngiz, sen néme boldung, qachqili? Iordan deryasi, yolungdin yan’ghili?
6 enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume, enyi vilima, kama wana-kondoo?
Taghlar qochqarlardek, Döngler qozilardek oynaqlighili?
7 Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana, mbele za Mungu wa Yakobo,
I yer yüzi, Rebning jamalidin, Yaqupning Xudasining jamalidin tewren;
8 aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji, mwamba mgumu kuwa chemchemi za maji.
U qoram tashni kölchekke, Chaqmaq téshini mol bulaq sulirigha aylanduridu.