< Zaburi 114 >

1 Wakati Israeli walipotoka Misri, nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,
¡Hallelú Yah! Cuando Israel salió de Egipto, —la casa de Jacob de entre un pueblo bárbaro—
2 Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu, Israeli akawa milki yake.
Judá vino a ser su santuario, Israel su imperio.
3 Bahari ilitazama ikakimbia, Yordani ulirudi nyuma,
El mar, al ver, huyó; el Jordán volvió atrás.
4 milima ilirukaruka kama kondoo dume, vilima kama wana-kondoo.
Los montes saltaron como carneros, los collados como corderillos.
5 Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia, nawe, ee Yordani, ukarudi nyuma,
¿Qué tienes, mar, para huir y tú, Jordán, para volver atrás?
6 enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume, enyi vilima, kama wana-kondoo?
¿Montes, para saltar como carneros; collados, como corderillos?
7 Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana, mbele za Mungu wa Yakobo,
Tiembla, oh tierra, ante la faz del Señor, ante la faz del Dios de Jacob,
8 aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji, mwamba mgumu kuwa chemchemi za maji.
que convierte la peña en estanque, la roca en fuente de aguas.

< Zaburi 114 >