< Zaburi 114 >

1 Wakati Israeli walipotoka Misri, nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,
وقتی که اسرائیل از مصر بیرون آمدند، و خاندان یعقوب از قوم اجنبی زبان،۱
2 Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu, Israeli akawa milki yake.
یهودا مقدس او بود و اسرائیل محل سلطنت وی.۲
3 Bahari ilitazama ikakimbia, Yordani ulirudi nyuma,
دریا این را بدید و گریخت واردن به عقب برگشت.۳
4 milima ilirukaruka kama kondoo dume, vilima kama wana-kondoo.
کوهها مثل قوچها به جستن درآمدند و تلها مثل بره های گله.۴
5 Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia, nawe, ee Yordani, ukarudi nyuma,
‌ای دریاتو را چه شد که گریختی؟ و‌ای اردن که به عقب برگشتی؟۵
6 enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume, enyi vilima, kama wana-kondoo?
‌ای کوهها که مثل قوچها به جستن درآمدید و‌ای تلها که مثل بره های گله.۶
7 Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana, mbele za Mungu wa Yakobo,
‌ای زمین از حضور خداوند متزلزل شو و از حضور خدای یعقوب.۷
8 aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji, mwamba mgumu kuwa chemchemi za maji.
که صخره را دریاچه آب گردانید وسنگ خارا را چشمه آب.۸

< Zaburi 114 >