< Zaburi 114 >

1 Wakati Israeli walipotoka Misri, nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,
Lorsque qu’Israël sortit de l’Égypte, et la maison de Jacob du milieu d’un peuple barbare,
2 Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu, Israeli akawa milki yake.
La Judée devint sa sanctification, et Israël son empire.
3 Bahari ilitazama ikakimbia, Yordani ulirudi nyuma,
La mer le vit, et s’enfuit, le Jourdain retourna en arrière.
4 milima ilirukaruka kama kondoo dume, vilima kama wana-kondoo.
Les montagnes bondirent comme des béliers, et les collines comme des agneaux de brebis.
5 Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia, nawe, ee Yordani, ukarudi nyuma,
Qu’as-tu, ô mer, que tu aies fui? et toi, Jourdain, que tu sois retourné en arrière?
6 enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume, enyi vilima, kama wana-kondoo?
Montagnes, pourquoi avez-vous bondi comme des béliers, et vous, collines, comme des agneaux de brebis?
7 Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana, mbele za Mungu wa Yakobo,
La terre a été ébranlée à la face du Seigneur, à la face du Dieu de Jacob.
8 aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji, mwamba mgumu kuwa chemchemi za maji.
Qui convertit la pierre en étangs d’eaux, et le rocher en fontaines d’eaux.

< Zaburi 114 >