< Zaburi 114 >

1 Wakati Israeli walipotoka Misri, nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,
Alléluiah! Lorsque Israël sortit d'Egypte, et la maison de Jacob d'un peuple barbare,
2 Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu, Israeli akawa milki yake.
Juda devint son peuple saint, Israël sa puissance.
3 Bahari ilitazama ikakimbia, Yordani ulirudi nyuma,
La mer le vit, et s'enfuit; le Jourdain retourna en arrière.
4 milima ilirukaruka kama kondoo dume, vilima kama wana-kondoo.
Les montagnes bondirent comme des béliers, et les collines comme des agneaux.
5 Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia, nawe, ee Yordani, ukarudi nyuma,
Qu'avais-tu en toi, ô mer, pour fuir ainsi, et toi, Jourdain, pour retourner en arrière?
6 enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume, enyi vilima, kama wana-kondoo?
Et vous, montagnes, pourquoi bondissiez-vous comme des béliers, et vous, collines, comme des agneaux?
7 Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana, mbele za Mungu wa Yakobo,
La terre a tremblé à la face du Seigneur, à la face du Dieu de Jacob,
8 aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji, mwamba mgumu kuwa chemchemi za maji.
Qui a changé la pierre en nappes d'eau, et la roche en fontaines.

< Zaburi 114 >