< Zaburi 114 >
1 Wakati Israeli walipotoka Misri, nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,
in/on/with to come out: come Israel from Egypt house: household Jacob from people to mumble
2 Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu, Israeli akawa milki yake.
to be Judah to/for holiness his Israel dominion his
3 Bahari ilitazama ikakimbia, Yordani ulirudi nyuma,
[the] sea to see: see and to flee [the] Jordan to turn: turn to/for back
4 milima ilirukaruka kama kondoo dume, vilima kama wana-kondoo.
[the] mountain: mount to skip about like/as ram hill like/as son: young animal flock
5 Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia, nawe, ee Yordani, ukarudi nyuma,
what? to/for you [the] sea for to flee [the] Jordan to turn: turn to/for back
6 enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume, enyi vilima, kama wana-kondoo?
[the] mountain: mount to skip about like/as ram hill like/as son: young animal flock
7 Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana, mbele za Mungu wa Yakobo,
from to/for face lord to twist: tremble land: country/planet from to/for face god Jacob
8 aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji, mwamba mgumu kuwa chemchemi za maji.
[the] to overturn [the] rock pool water flint to/for spring his water