< Zaburi 114 >

1 Wakati Israeli walipotoka Misri, nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,
At the time of the exodus of Israel from Egypt, when the descendants of Jacob left that foreign country,
2 Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu, Israeli akawa milki yake.
the land of Judah became the Lord's sanctuary, Israel his kingdom.
3 Bahari ilitazama ikakimbia, Yordani ulirudi nyuma,
The Red Sea saw them and ran away; the Jordan River retreated.
4 milima ilirukaruka kama kondoo dume, vilima kama wana-kondoo.
Mountains jumped in fright like rams, hills startled like lambs.
5 Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia, nawe, ee Yordani, ukarudi nyuma,
Red Sea—why did you run away? Jordan River—why did you retreat?
6 enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume, enyi vilima, kama wana-kondoo?
Mountains—why did you jump in fright? Hills—why did you startle like lambs?
7 Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana, mbele za Mungu wa Yakobo,
Earth, tremble in the presence of the Lord, tremble in the presence of the God of Jacob!
8 aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji, mwamba mgumu kuwa chemchemi za maji.
He is the one who turned the rock into a pool of water; making water flow from the hard rock.

< Zaburi 114 >