< Zaburi 114 >

1 Wakati Israeli walipotoka Misri, nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,
Halleluja! Da Israel drog fra Ægypten, Jakobs Hus fra det stammende Folk,
2 Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu, Israeli akawa milki yake.
da blev Juda hans Helligdom, Israel blev hans Rige.
3 Bahari ilitazama ikakimbia, Yordani ulirudi nyuma,
Havet så det og flyede, Jordan trak sig tilbage,
4 milima ilirukaruka kama kondoo dume, vilima kama wana-kondoo.
Bjergene sprang som Vædre, Højene hopped som Lam.
5 Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia, nawe, ee Yordani, ukarudi nyuma,
Hvad fejler du, Hav, at du flyr, Jordan, hvi går du tilbage,
6 enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume, enyi vilima, kama wana-kondoo?
hvi springer I Bjerge som Vædre, hvi hopper I Høje som Lam?
7 Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana, mbele za Mungu wa Yakobo,
Skælv, Jord, for HERRENs Åsyn, for Jakobs Guds Åsyn,
8 aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji, mwamba mgumu kuwa chemchemi za maji.
han, som gør Klipper til Vanddrag, til Kildevæld hården Flint!

< Zaburi 114 >