< Zaburi 114 >
1 Wakati Israeli walipotoka Misri, nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,
Der Israel drog ud af Ægypten, Jakobs Hus fra et Folk, som havde et fremmed Maal,
2 Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu, Israeli akawa milki yake.
da blev Juda til hans Helligdom, Israel til hans Herredømme.
3 Bahari ilitazama ikakimbia, Yordani ulirudi nyuma,
Havet saa det og flyede; Jordanen vendte om og løb tilbage.
4 milima ilirukaruka kama kondoo dume, vilima kama wana-kondoo.
Bjergene sprang som Vædre, Højene som unge Lam.
5 Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia, nawe, ee Yordani, ukarudi nyuma,
Hvad skete dig, du Hav! at du flyede? du Jordan! at du vendte om og løb tilbage?
6 enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume, enyi vilima, kama wana-kondoo?
I Bjerge! at I sprang som Vædre? I Høje! som unge Lam?
7 Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana, mbele za Mungu wa Yakobo,
Bæv, o Jord! for Herrens Ansigt, for Jakobs Guds Ansigt;
8 aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji, mwamba mgumu kuwa chemchemi za maji.
han, som forvandler Klippen til en vandrig Sø, Flint til et Kildevæld!