Preface
Bibles
+
SCO
CSG
X
<
h567
>
X
<
^
>
<
>
<
Zaburi
114
>
1
Wakati Israeli walipotoka Misri, nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,
當以色列出離埃及時,雅各伯家離開蠻夷時,
2
Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu, Israeli akawa milki yake.
猶大成了上主的聖所,以色列成了祂的王國;
3
Bahari ilitazama ikakimbia, Yordani ulirudi nyuma,
海洋見了,頓時逃溜,約旦立即回轉倒流。
4
milima ilirukaruka kama kondoo dume, vilima kama wana-kondoo.
山嶽跳躍如公羊,丘陵舞蹈似羔羊。
5
Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia, nawe, ee Yordani, ukarudi nyuma,
海洋,什麼使您逃溜。約旦,什麼叫您倒流?
6
enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume, enyi vilima, kama wana-kondoo?
山嶽,您們為什麼跳躍像公羊?丘陵,您們為什麼舞蹈似羔羊?
7
Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana, mbele za Mungu wa Yakobo,
大地,您應該在上主的面前,在雅各伯的天主面前搖撼,
8
aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji, mwamba mgumu kuwa chemchemi za maji.
祂使磐石變為水潭,祂使礁石變成水泉。
<
Zaburi
114
>
Go to
>
Bookmark
/
Concordance
/
Maps
/
Report Issue
The world's first Holy Bible un-translation!