< Zaburi 114 >

1 Wakati Israeli walipotoka Misri, nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,
Isala: ili dunu (Ya: igobe egaga fi) ilia da ga fi soge amo Idibidi fisili, gadili ahoanoba,
2 Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu, Israeli akawa milki yake.
Hina Gode da Yuda fi Ea hadigi fi ilegei dagoi. Amola E da Isala: ili fi Ea fidafa ilegei.
3 Bahari ilitazama ikakimbia, Yordani ulirudi nyuma,
Maga: me Hano Wayabo da ili ba: lalu, hobea: i. Yodane Hano da yogodalu yolei.
4 milima ilirukaruka kama kondoo dume, vilima kama wana-kondoo.
Goumi ilia da goudi agoane hahadiasu. Amola agolo ilia da sibi mano agoane hahadia lafia: su.
5 Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia, nawe, ee Yordani, ukarudi nyuma,
Hano wayabo! Di da adiba: le hobeabela: ? Amola Yodane hano di da abuliba: le yogo ahoanu amo fisibala: ?
6 enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume, enyi vilima, kama wana-kondoo?
Goumi! Di da abuliba: le goudi manoga hadiabe defele hadialula: ? Agolo soge! Dilia da abuliba: le, sibi manoga suagagala: gagadobe defele hamosula: ?
7 Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana, mbele za Mungu wa Yakobo,
Osobo bagade! Hina Gode da mabeba: le, Ya: igobe ea Gode Ea midadi yaguguma.
8 aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji, mwamba mgumu kuwa chemchemi za maji.
Bai E da igi amo afadenene hano wayabo hamosa, amola magufu adobo amo hano bubuga: su agoane hamosa.

< Zaburi 114 >