< Zaburi 113 >

1 Msifuni Bwana. Enyi watumishi wa Bwana msifuni, lisifuni jina la Bwana.
Aleluya. ALABAD, siervos de Jehová, alabad el nombre de Jehová.
2 Jina la Bwana na lisifiwe, sasa na hata milele.
Sea el nombre de Jehová bendito, desde ahora y para siempre.
3 Kuanzia mawio ya jua hadi machweo yake, jina la Bwana linapaswa kusifiwa.
Desde el nacimiento del sol hasta donde se pone, sea alabado el nombre de Jehová.
4 Bwana ametukuka juu ya mataifa yote, utukufu wake juu ya mbingu.
Alto sobre todas las naciones es Jehová; sobre los cielos su gloria.
5 Ni nani aliye kama Bwana Mungu wetu, Yeye ambaye ameketi juu kwenye kiti cha enzi,
¿Quién como Jehová nuestro Dios, que ha enaltecido su habitación,
6 ambaye huinama atazame chini aone mbingu na nchi?
Que se humilla á mirar en el cielo y en la tierra?
7 Huwainua maskini kutoka mavumbini, na kuwanyanyua wahitaji kutoka kwenye jalala,
El levanta del polvo al pobre, y al menesteroso alza del estiércol,
8 huwaketisha pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.
Para hacerlos sentar con los príncipes, con los príncipes de su pueblo.
9 Humjalia mwanamke tasa kutulia nyumbani mwake, akiwa mama watoto mwenye furaha. Msifuni Bwana.
El hace habitar en familia á la estéril, gozosa [en ser] madre de hijos. Aleluya.

< Zaburi 113 >