< Zaburi 113 >

1 Msifuni Bwana. Enyi watumishi wa Bwana msifuni, lisifuni jina la Bwana.
Haleluya! Pujilah, hai hamba-hamba TUHAN, pujilah nama TUHAN!
2 Jina la Bwana na lisifiwe, sasa na hata milele.
Kiranya nama TUHAN dimasyhurkan, sekarang ini dan selama-lamanya.
3 Kuanzia mawio ya jua hadi machweo yake, jina la Bwana linapaswa kusifiwa.
Dari terbitnya sampai kepada terbenamnya matahari terpujilah nama TUHAN.
4 Bwana ametukuka juu ya mataifa yote, utukufu wake juu ya mbingu.
TUHAN tinggi mengatasi segala bangsa, kemuliaan-Nya mengatasi langit.
5 Ni nani aliye kama Bwana Mungu wetu, Yeye ambaye ameketi juu kwenye kiti cha enzi,
Siapakah seperti TUHAN, Allah kita, yang diam di tempat yang tinggi,
6 ambaye huinama atazame chini aone mbingu na nchi?
yang merendahkan diri untuk melihat ke langit dan ke bumi?
7 Huwainua maskini kutoka mavumbini, na kuwanyanyua wahitaji kutoka kwenye jalala,
Ia menegakkan orang yang hina dari dalam debu dan mengangkat orang yang miskin dari lumpur,
8 huwaketisha pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.
untuk mendudukkan dia bersama-sama dengan para bangsawan, bersama-sama dengan para bangsawan bangsanya.
9 Humjalia mwanamke tasa kutulia nyumbani mwake, akiwa mama watoto mwenye furaha. Msifuni Bwana.
Ia mendudukkan perempuan yang mandul di rumah sebagai ibu anak-anak, penuh sukacita. Haleluya!

< Zaburi 113 >