< Zaburi 113 >
1 Msifuni Bwana. Enyi watumishi wa Bwana msifuni, lisifuni jina la Bwana.
Alléluiah! Louez le Seigneur, enfants, louez le nom du Seigneur.
2 Jina la Bwana na lisifiwe, sasa na hata milele.
Béni soit le nom du Seigneur, maintenant et dans tous les siècles.
3 Kuanzia mawio ya jua hadi machweo yake, jina la Bwana linapaswa kusifiwa.
De l'Orient à l'Occident, le nom du Seigneur est digne de louange.
4 Bwana ametukuka juu ya mataifa yote, utukufu wake juu ya mbingu.
Le Seigneur est élevé sur toutes les nations; et sa gloire, au-dessus des cieux.
5 Ni nani aliye kama Bwana Mungu wetu, Yeye ambaye ameketi juu kwenye kiti cha enzi,
Qui est comme le Seigneur notre Dieu, qui habite les hauteurs des cieux,
6 ambaye huinama atazame chini aone mbingu na nchi?
Et regarde les humbles dans le ciel et sur la terre?
7 Huwainua maskini kutoka mavumbini, na kuwanyanyua wahitaji kutoka kwenye jalala,
Il retire l'indigent de la poussière, il relève le pauvre de la fange,
8 huwaketisha pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.
Pour les faire asseoir avec les princes, avec les princes de son peuple.
9 Humjalia mwanamke tasa kutulia nyumbani mwake, akiwa mama watoto mwenye furaha. Msifuni Bwana.
Il fait demeurer la femme stérile dans sa maison, où elle trouve les joies d'une mère en ses enfants.