< Zaburi 113 >

1 Msifuni Bwana. Enyi watumishi wa Bwana msifuni, lisifuni jina la Bwana.
Louez Jah. Louez, vous serviteurs de l’Éternel, louez le nom de l’Éternel.
2 Jina la Bwana na lisifiwe, sasa na hata milele.
Le nom de l’Éternel soit béni, dès maintenant et à toujours!
3 Kuanzia mawio ya jua hadi machweo yake, jina la Bwana linapaswa kusifiwa.
Du soleil levant jusqu’au soleil couchant, le nom de l’Éternel soit loué!
4 Bwana ametukuka juu ya mataifa yote, utukufu wake juu ya mbingu.
L’Éternel est haut élevé par-dessus toutes les nations; sa gloire est au-dessus des cieux.
5 Ni nani aliye kama Bwana Mungu wetu, Yeye ambaye ameketi juu kwenye kiti cha enzi,
Qui est comme l’Éternel, notre Dieu? Il a placé sa demeure en haut;
6 ambaye huinama atazame chini aone mbingu na nchi?
Il s’abaisse pour regarder dans les cieux et sur la terre;
7 Huwainua maskini kutoka mavumbini, na kuwanyanyua wahitaji kutoka kwenye jalala,
De la poussière il fait lever le misérable, de dessus le fumier il élève le pauvre,
8 huwaketisha pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.
Pour les faire asseoir avec les nobles, avec les nobles de son peuple;
9 Humjalia mwanamke tasa kutulia nyumbani mwake, akiwa mama watoto mwenye furaha. Msifuni Bwana.
Il fait habiter la femme stérile dans une maison, joyeuse mère de fils. Louez Jah!

< Zaburi 113 >