< Zaburi 113 >

1 Msifuni Bwana. Enyi watumishi wa Bwana msifuni, lisifuni jina la Bwana.
Halleluja! Ylistäkää, te Herran palvelijat, ylistäkää Herran nimeä.
2 Jina la Bwana na lisifiwe, sasa na hata milele.
Siunattu olkoon Herran nimi nyt ja iankaikkisesti.
3 Kuanzia mawio ya jua hadi machweo yake, jina la Bwana linapaswa kusifiwa.
Auringon noususta sen laskuun saakka olkoon Herran nimi ylistetty.
4 Bwana ametukuka juu ya mataifa yote, utukufu wake juu ya mbingu.
Herra on korkea yli kaikkien pakanakansain, yli taivasten kohoaa hänen kunniansa.
5 Ni nani aliye kama Bwana Mungu wetu, Yeye ambaye ameketi juu kwenye kiti cha enzi,
Kuka on niinkuin Herra, meidän Jumalamme, joka korkealla asuu
6 ambaye huinama atazame chini aone mbingu na nchi?
ja katsoo syvälle-taivaassa ja maassa?
7 Huwainua maskini kutoka mavumbini, na kuwanyanyua wahitaji kutoka kwenye jalala,
Hän, joka tomusta nostaa alhaisen, korottaa loasta köyhän
8 huwaketisha pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.
asettaaksensa hänet ruhtinasten rinnalle, hänen kansansa ruhtinasten rinnalle,
9 Humjalia mwanamke tasa kutulia nyumbani mwake, akiwa mama watoto mwenye furaha. Msifuni Bwana.
joka antaa hedelmättömän asua kodissa, iloisena lasten äitinä! Halleluja!

< Zaburi 113 >