< Zaburi 113 >

1 Msifuni Bwana. Enyi watumishi wa Bwana msifuni, lisifuni jina la Bwana.
to boast: praise LORD to boast: praise servant/slave LORD to boast: praise [obj] name LORD
2 Jina la Bwana na lisifiwe, sasa na hata milele.
to be name LORD to bless from now and till forever: enduring
3 Kuanzia mawio ya jua hadi machweo yake, jina la Bwana linapaswa kusifiwa.
from east sun till entrance his to boast: praise name LORD
4 Bwana ametukuka juu ya mataifa yote, utukufu wake juu ya mbingu.
to exalt upon all nation LORD upon [the] heaven glory his
5 Ni nani aliye kama Bwana Mungu wetu, Yeye ambaye ameketi juu kwenye kiti cha enzi,
who? like/as LORD God our [the] to exult to/for to dwell
6 ambaye huinama atazame chini aone mbingu na nchi?
[the] to abase to/for to see: see in/on/with heaven and in/on/with land: country/planet
7 Huwainua maskini kutoka mavumbini, na kuwanyanyua wahitaji kutoka kwenye jalala,
to arise: raise from dust poor from refuse to exalt needy
8 huwaketisha pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.
to/for to dwell with noble with noble people his
9 Humjalia mwanamke tasa kutulia nyumbani mwake, akiwa mama watoto mwenye furaha. Msifuni Bwana.
to dwell barren [the] house: home mother [the] son: child glad to boast: praise LORD

< Zaburi 113 >