< Zaburi 113 >

1 Msifuni Bwana. Enyi watumishi wa Bwana msifuni, lisifuni jina la Bwana.
阿肋路亞!上主的僕人,請一齊讚頌,請一齊讚頌上主聖名!
2 Jina la Bwana na lisifiwe, sasa na hata milele.
願上主的名受讚頌,從現在直到永遠無窮!
3 Kuanzia mawio ya jua hadi machweo yake, jina la Bwana linapaswa kusifiwa.
從太陽東升到西落,願上主的聖名受讚頌!
4 Bwana ametukuka juu ya mataifa yote, utukufu wake juu ya mbingu.
上主高越列國萬邦;上主的光榮凌駕穹蒼;
5 Ni nani aliye kama Bwana Mungu wetu, Yeye ambaye ameketi juu kwenye kiti cha enzi,
誰能相似上主我們的天主?祂坐在蒼天之上的最高處。
6 ambaye huinama atazame chini aone mbingu na nchi?
上主必會垂目下視,觀看上天和下地;
7 Huwainua maskini kutoka mavumbini, na kuwanyanyua wahitaji kutoka kwenye jalala,
上主從塵埃裏提拔弱小的人;上主由糞土中舉揚窮苦的人,
8 huwaketisha pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.
叫他與貴族的人共席,也與本國的王侯同位;
9 Humjalia mwanamke tasa kutulia nyumbani mwake, akiwa mama watoto mwenye furaha. Msifuni Bwana.
使那不孕的婦女坐鎮家中,成為多子的母親快樂無窮。

< Zaburi 113 >