Preface
Bibles
+
SCO
CSG
X
<
h9020
>
X
<
^
>
<
>
<
Zaburi
113
>
1
Msifuni Bwana. Enyi watumishi wa Bwana msifuni, lisifuni jina la Bwana.
阿肋路亞!上主的僕人,請一齊讚頌,請一齊讚頌上主聖名!
2
Jina la Bwana na lisifiwe, sasa na hata milele.
願上主的名受讚頌,從現在直到永遠無窮!
3
Kuanzia mawio ya jua hadi machweo yake, jina la Bwana linapaswa kusifiwa.
從太陽東升到西落,願上主的聖名受讚頌!
4
Bwana ametukuka juu ya mataifa yote, utukufu wake juu ya mbingu.
上主高越列國萬邦;上主的光榮凌駕穹蒼;
5
Ni nani aliye kama Bwana Mungu wetu, Yeye ambaye ameketi juu kwenye kiti cha enzi,
誰能相似上主我們的天主?祂坐在蒼天之上的最高處。
6
ambaye huinama atazame chini aone mbingu na nchi?
上主必會垂目下視,觀看上天和下地;
7
Huwainua maskini kutoka mavumbini, na kuwanyanyua wahitaji kutoka kwenye jalala,
上主從塵埃裏提拔弱小的人;上主由糞土中舉揚窮苦的人,
8
huwaketisha pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.
叫他與貴族的人共席,也與本國的王侯同位;
9
Humjalia mwanamke tasa kutulia nyumbani mwake, akiwa mama watoto mwenye furaha. Msifuni Bwana.
使那不孕的婦女坐鎮家中,成為多子的母親快樂無窮。
<
Zaburi
113
>
Go to
>
Bookmark
/
Concordance
/
Maps
/
Report Issue
The world's first Holy Bible un-translation!