< Zaburi 113 >
1 Msifuni Bwana. Enyi watumishi wa Bwana msifuni, lisifuni jina la Bwana.
FANMANALABA jamyo as Jeova. Fanmanalaba, O tentago Jeova sija. Fanmanalaba y naan Jeova.
2 Jina la Bwana na lisifiwe, sasa na hata milele.
Bendito y naan Jeova, desde este na tiempo yan para taejinecog.
3 Kuanzia mawio ya jua hadi machweo yake, jina la Bwana linapaswa kusifiwa.
Desde y quinajulo y atdao asta y minachomña papa, y naan Jeova para umaalaba.
4 Bwana ametukuka juu ya mataifa yote, utukufu wake juu ya mbingu.
Si Jeova gueftaquilo gui jilo todo y nasion yan y minalagña gui jilo y langet sija.
5 Ni nani aliye kama Bwana Mungu wetu, Yeye ambaye ameketi juu kwenye kiti cha enzi,
Jaye parejuña si Jeova ni y Yuusta, ni y japolo y tachongña gui sanjilo.
6 ambaye huinama atazame chini aone mbingu na nchi?
Ni y muna umitde güe para uatan y güinaja sija ni y mangaegue gui langet yan y tano.
7 Huwainua maskini kutoka mavumbini, na kuwanyanyua wahitaji kutoka kwenye jalala,
Güiya jumatsa julo y mamoble gui petbos, yan jajatsa y mananesitao gui monton estietcot.
8 huwaketisha pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.
Para unafanmatachong yan y prinsepe sija magajet, yan y prinsepen y taotaoña sija.
9 Humjalia mwanamke tasa kutulia nyumbani mwake, akiwa mama watoto mwenye furaha. Msifuni Bwana.
Ya janafamulan guma y ti fafañago na palaoan, ya jumuyong gofmagof na nanan famaguon. Fanmanalaba jamyo as Jeova.