< Zaburi 112 >
1 Msifuni Bwana. Heri mtu yule amchaye Bwana, mtu yule apendezwaye sana na amri zake.
Aleluia! Bem-aventurado é o homem que teme ao SENHOR, e que tem muito prazer em seus mandamentos.
2 Watoto wake watakuwa wenye uwezo katika nchi, kizazi cha watu waadilifu kitabarikiwa.
Sua descendência será poderosa na terra; a geração dos corretos será bendita.
3 Nyumbani mwake kuna mali na utajiri, haki yake hudumu milele.
Em sua casa [haverá] bens e riquezas, e sua justiça permanece para sempre.
4 Hata gizani nuru humzukia mtu mwadilifu, yule mwenye rehema, huruma na haki.
A luz brilha nas trevas para os corretos, [para quem é] piedoso, misericordioso e justo.
5 Mema yatamjia mtu yule aliye mkarimu na mwenye kukopesha bila riba, anayefanya mambo yake kwa haki.
O homem bom é misericordioso, e empresta; ele administra suas coisas com prudência.
6 Hakika hatatikisika kamwe, mtu mwenye haki atakumbukwa milele.
Certamente ele nunca se abalará; o justo será lembrado para sempre.
7 Hataogopa habari mbaya, moyo wake ni thabiti, ukimtegemea Bwana.
Ele não temerá o mau rumor; o seu coração está firme, confiante no SENHOR.
8 Moyo wake ni salama, hatakuwa na hofu, mwishoni ataona ushindi dhidi ya adui zake.
Seu firme coração não temerá, até que ele veja [o fim] de seus inimigos.
9 Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini; haki yake hudumu milele; pembe yake itatukuzwa kwa heshima.
Ele distribui, e dá aos necessitados; sua justiça permanece para sempre; seu poder será exaltado em glória.
10 Mtu mwovu ataona na kuchukizwa, atasaga meno yake na kutoweka, kutamani kwa mtu mwovu kutaishia patupu.
O perverso verá, e ficará incomodado; rangerá seus dentes, e se consumirá. O desejo dos perversos perecerá.