< Zaburi 112 >
1 Msifuni Bwana. Heri mtu yule amchaye Bwana, mtu yule apendezwaye sana na amri zake.
Alleluja. Błogosławiony człowiek, który boi się PANA i ma upodobanie w jego przykazaniach.
2 Watoto wake watakuwa wenye uwezo katika nchi, kizazi cha watu waadilifu kitabarikiwa.
Jego potomstwo będzie potężne na ziemi, pokolenie prawych będzie błogosławione.
3 Nyumbani mwake kuna mali na utajiri, haki yake hudumu milele.
Dobrobyt i bogactwo są w jego domu, a jego sprawiedliwość trwa na wieki.
4 Hata gizani nuru humzukia mtu mwadilifu, yule mwenye rehema, huruma na haki.
Dla prawych wschodzi światłość w ciemności; [on jest] łaskawy, miłosierny i sprawiedliwy.
5 Mema yatamjia mtu yule aliye mkarimu na mwenye kukopesha bila riba, anayefanya mambo yake kwa haki.
Dobry człowiek lituje się i pożycza, [i] prowadzi swoje sprawy rozważnie.
6 Hakika hatatikisika kamwe, mtu mwenye haki atakumbukwa milele.
Na pewno nigdy się nie zachwieje, sprawiedliwy na wieki pozostanie w pamięci.
7 Hataogopa habari mbaya, moyo wake ni thabiti, ukimtegemea Bwana.
Nie będzie się bał złej nowiny, jego serce jest stateczne, ufa PANU.
8 Moyo wake ni salama, hatakuwa na hofu, mwishoni ataona ushindi dhidi ya adui zake.
Jego serce jest umocnione, nie będzie się bał, aż zobaczy [pomstę] nad swymi wrogami.
9 Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini; haki yake hudumu milele; pembe yake itatukuzwa kwa heshima.
Rozrzucił i dał ubogim, jego sprawiedliwość trwa na wieki, jego róg będzie wywyższony w chwale.
10 Mtu mwovu ataona na kuchukizwa, atasaga meno yake na kutoweka, kutamani kwa mtu mwovu kutaishia patupu.
Niegodziwy zobaczy to i rozgniewa się, zgrzytnie zębami i uschnie, pragnienie niegodziwych zginie.