< Zaburi 111 >

1 Msifuni Bwana. Nitamtukuza Bwana kwa moyo wangu wote, katika baraza la wanyofu na katika kusanyiko.
Aleluya. ALABARÉ á Jehová con todo el corazón, en la compañía y congregación de los rectos.
2 Kazi za Bwana ni kuu, wote wanaopendezwa nazo huzitafakari.
Grandes son las obras de Jehová; buscadas de todos los que las quieren.
3 Kazi zake zimejaa fahari na utukufu, haki yake hudumu daima.
Gloria y hermosura es su obra; y su justicia permanece para siempre.
4 Amefanya maajabu yake yakumbukwe, Bwana ni mwenye neema na huruma.
Hizo memorables sus maravillas: clemente y misericordioso es Jehová.
5 Huwapa chakula wale wanaomcha, hulikumbuka agano lake milele.
Dió mantenimiento á los que le temen; para siempre se acordará de su pacto.
6 Amewaonyesha watu wake uwezo wa kazi zake, akiwapa nchi za mataifa mengine.
El poder de sus obras anunció á su pueblo, dándole la heredad de las gentes.
7 Kazi za mikono yake ni za uaminifu na haki, mausia yake yote ni ya kuaminika.
Las obras de sus manos son verdad y juicio: fieles son todos sus mandamientos;
8 Zinadumu milele na milele, zikifanyika kwa uaminifu na unyofu.
Afirmados por siglo de siglo, hechos en verdad y en rectitud.
9 Aliwapa watu wake ukombozi, aliamuru agano lake milele: jina lake ni takatifu na la kuogopwa.
Redención ha enviado á su pueblo; para siempre ha ordenado su pacto: santo y terrible es su nombre.
10 Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima, wote wanaozifuata amri zake wana busara. Sifa zake zadumu milele.
El principio de la sabiduría es el temor de Jehová: buen entendimiento tienen cuantos ponen aquéllos por obra: su loor permanece para siempre.

< Zaburi 111 >