< Zaburi 111 >
1 Msifuni Bwana. Nitamtukuza Bwana kwa moyo wangu wote, katika baraza la wanyofu na katika kusanyiko.
Praise ye Yah! I will give thanks unto Yahweh, with a whole heart, in the circle of the upright and the assembly.
2 Kazi za Bwana ni kuu, wote wanaopendezwa nazo huzitafakari.
Great are the works of Yahweh, sought out, by all who find pleasure therein.
3 Kazi zake zimejaa fahari na utukufu, haki yake hudumu daima.
Honourable and majestic, is his doing, and, his righteousness, standeth for aye.
4 Amefanya maajabu yake yakumbukwe, Bwana ni mwenye neema na huruma.
A memorial, hath he made by his wonders, Gracious and compassionate, is Yahweh.
5 Huwapa chakula wale wanaomcha, hulikumbuka agano lake milele.
Food, hath he given to them who revere him, He will remember, age-abidingly, his covenant.
6 Amewaonyesha watu wake uwezo wa kazi zake, akiwapa nchi za mataifa mengine.
The might of his works, hath he declared to his people, that he may give them the inheritance of the nations.
7 Kazi za mikono yake ni za uaminifu na haki, mausia yake yote ni ya kuaminika.
The works of his hands, are faithful and just, Firm are all his precepts;
8 Zinadumu milele na milele, zikifanyika kwa uaminifu na unyofu.
Upheld to futurity, to times age-abiding, done in faithfulness and equity.
9 Aliwapa watu wake ukombozi, aliamuru agano lake milele: jina lake ni takatifu na la kuogopwa.
Ransom, hath he sent to his people, He hath commanded, to times age-abiding, his covenant, Holy and reverend, is his Name.
10 Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima, wote wanaozifuata amri zake wana busara. Sifa zake zadumu milele.
The beginning of wisdom, is the reverence of Yahweh, Good discretion, have all that do them, His praise, endureth for aye.