< Zaburi 111 >
1 Msifuni Bwana. Nitamtukuza Bwana kwa moyo wangu wote, katika baraza la wanyofu na katika kusanyiko.
Halleluja! jeg takker HERREN af hele mit Hjerte i Oprigtiges Kreds og Menighed!
2 Kazi za Bwana ni kuu, wote wanaopendezwa nazo huzitafakari.
Store er HERRENS Gerninger, gennemtænkte til Bunds.
3 Kazi zake zimejaa fahari na utukufu, haki yake hudumu daima.
Hans Værk er Højhed og Herlighed, hans Retfærd bliver til evig Tid.
4 Amefanya maajabu yake yakumbukwe, Bwana ni mwenye neema na huruma.
Han har sørget for, at hans Undere mindes, naadig og barmhjertig er HERREN.
5 Huwapa chakula wale wanaomcha, hulikumbuka agano lake milele.
Dem, der frygter ham, giver han Føde, han kommer for evigt sin Pagt i Hu.
6 Amewaonyesha watu wake uwezo wa kazi zake, akiwapa nchi za mataifa mengine.
Han viste sit Folk sine vældige Gerninger, da han gav dem Folkenes Eje.
7 Kazi za mikono yake ni za uaminifu na haki, mausia yake yote ni ya kuaminika.
Hans Hænders Værk er Sandhed og Ret, man kan lide paa alle hans Bud;
8 Zinadumu milele na milele, zikifanyika kwa uaminifu na unyofu.
de staar i al Evighed fast, udført i Sandhed og Retsind.
9 Aliwapa watu wake ukombozi, aliamuru agano lake milele: jina lake ni takatifu na la kuogopwa.
Han sendte sit Folk Udløsning, stifted sin Pagt for evigt. Helligt og frygteligt er hans Navn.
10 Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima, wote wanaozifuata amri zake wana busara. Sifa zake zadumu milele.
HERRENS Frygt er Visdoms Begyndelse; forstandig er hver, som øver den. Evigt varer hans Pris!