< Zaburi 111 >

1 Msifuni Bwana. Nitamtukuza Bwana kwa moyo wangu wote, katika baraza la wanyofu na katika kusanyiko.
Aleluja! ALEF Hvalit ću Jahvu svim srcem svojim BET u zboru pravednika, u zajednici njihovoj.
2 Kazi za Bwana ni kuu, wote wanaopendezwa nazo huzitafakari.
GIMEL Silna su djela Jahvina, DALET nek' razmišljaju o njima svi koji ih ljube.
3 Kazi zake zimejaa fahari na utukufu, haki yake hudumu daima.
HE Sjajno je i veličanstveno djelo njegovo, VAU i pravda njegova ostaje dovijeka.
4 Amefanya maajabu yake yakumbukwe, Bwana ni mwenye neema na huruma.
ZAJIN Čudesima svojim spomen postavi, HET blag je Jahve i milosrdan.
5 Huwapa chakula wale wanaomcha, hulikumbuka agano lake milele.
TET Hranu dade štovateljima svojim, JOD dovijeka se sjeća svoga Saveza.
6 Amewaonyesha watu wake uwezo wa kazi zake, akiwapa nchi za mataifa mengine.
KAF Silna djela svoja objavi svom narodu, LAMED u posjed im dade zemlju pogana.
7 Kazi za mikono yake ni za uaminifu na haki, mausia yake yote ni ya kuaminika.
MEM Djela ruku njegovih vjernost su i pravednost, NUN stalne su sve naredbe njegove,
8 Zinadumu milele na milele, zikifanyika kwa uaminifu na unyofu.
SAMEK utvrđene za sva vremena, dovijeka, AJIN sazdane na istini i na pravdi.
9 Aliwapa watu wake ukombozi, aliamuru agano lake milele: jina lake ni takatifu na la kuogopwa.
PE On posla spasenje svom narodu, SADE Savez svoj postavi zauvijek: KOF sveto je i časno ime njegovo!
10 Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima, wote wanaozifuata amri zake wana busara. Sifa zake zadumu milele.
REŠ Početak mudrosti strah Gospodnji! ŠIN Mudro čine koji ga poštuju. TAU Slava njegova ostaje dovijeka!

< Zaburi 111 >