< Zaburi 111 >

1 Msifuni Bwana. Nitamtukuza Bwana kwa moyo wangu wote, katika baraza la wanyofu na katika kusanyiko.
Hina Godema nodoma! Na asigi dawa: su huluane amoga, na da dunu ilia gilisisu ganodini, Hina Godema nodone sia: mu.
2 Kazi za Bwana ni kuu, wote wanaopendezwa nazo huzitafakari.
Hina Gode Ea hamobe da noga: idafa. Dunu huluane ilia da Ea hamonanebe hahawane ba: sa, ilia da amo hou dawa: digimusa: hanai gala.
3 Kazi zake zimejaa fahari na utukufu, haki yake hudumu daima.
Ea hamobe huluane da hadigidafa amola noga: idafa. Ea moloidafa hou da eso huluane mae fisili, dialalalumu.
4 Amefanya maajabu yake yakumbukwe, Bwana ni mwenye neema na huruma.
Hina Gode da Ea noga: idafa hou, ninia mae gogolema: ne, hamosa. Ea hou da asigidafa amola E da gogolema: ne olofosu dawa:
5 Huwapa chakula wale wanaomcha, hulikumbuka agano lake milele.
E da nowa dunu da Ema nodone dawa: lalebe, ilima ha: i manu iaha. E da Ea gousa: su ninima hamoi, amo hamedafa gogolesa.
6 Amewaonyesha watu wake uwezo wa kazi zake, akiwapa nchi za mataifa mengine.
E da ga fi dunu ilia soge samogene, Ea fi dunuma iabeba: le, Ea gasa bagade hou ilima olelei dagoi.
7 Kazi za mikono yake ni za uaminifu na haki, mausia yake yote ni ya kuaminika.
Ea hamobe huluane amo ganodini, E da mae afadenene moloidafa fawane hamosa. Amola Ea hamoma: ne sia: be da hamedafa afadenesa.
8 Zinadumu milele na milele, zikifanyika kwa uaminifu na unyofu.
Hina Gode da dafawane amola moloidafa agoane, Ea sema ninima i. Ea hamoma: ne sia: i liligi da eso huluane dialumu.
9 Aliwapa watu wake ukombozi, aliamuru agano lake milele: jina lake ni takatifu na la kuogopwa.
E da Ea fi dunu halegale masa: ne, ilia se iasu diasu logo doasi dogoi. E da ilima eso huluane dialumu gousa: su hamoi. E da hadigidafa amola gasa bagade gala.
10 Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima, wote wanaozifuata amri zake wana busara. Sifa zake zadumu milele.
Dilia asigi dawa: su bagade lamusa: dawa: sea, Hina Gode Ea Dio nodone gaguia gadoma. E da nowa: dunuma Ea hamoma: ne sia: i amo nabawane hamosea, hou eno da noga: i, amola eno da wadela: i amo dawa: digima: ne, dawa: su iaha. Eso huluane mae fisili, Ema nodonanumu da defea.

< Zaburi 111 >