< Zaburi 110 >

1 Zaburi ya Daudi. Bwana amwambia Bwana wangu: “Keti mkono wangu wa kuume, mpaka nitakapowafanya adui zako kuwa mahali pa kuweka miguu yako.”
Un psalm al lui David. DOMNUL a spus Domnului meu: Șezi la dreapta mea, până voi face pe dușmanii tăi sprijin al piciorului tău.
2 Bwana ataeneza fimbo yako ya utawala yenye nguvu kutoka Sayuni; utatawala katikati ya adui zako.
DOMNUL va trimite toiagul tăriei tale din Sion, domnește în mijlocul dușmanilor tăi.
3 Askari wako watajitolea kwa hiari katika siku yako ya vita. Ukiwa umevikwa fahari takatifu, kutoka tumbo la mapambazuko utapokea umande wa ujana wako.
Poporul tău va fi binevoitor în ziua puterii tale; în frumusețile sfințeniei din pântecele dimineții, tu ai roua tinereții tale.
4 Bwana ameapa, naye hatabadilisha mawazo yake: “Wewe ni kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.”
DOMNUL a jurat și nu se va pocăi: Tu ești preot pentru totdeauna, după rânduiala lui Melchisedec.
5 Bwana yuko mkono wako wa kuume, atawaponda wafalme siku ya ghadhabu yake.
Domnul, la dreapta ta, va străpunge împărați în ziua furiei sale.
6 Atawahukumu mataifa, akilundika mizoga na kuwaponda watawala wa dunia nzima.
Va judeca printre păgâni, va umple locurile cu trupurile moarte; va răni capetele peste multe țări.
7 Atakunywa maji katika kijito kando ya njia, kwa hiyo atainua kichwa chake juu.
Va bea din pârâul de pe cale, de aceea va înălța capul.

< Zaburi 110 >