< Zaburi 110 >

1 Zaburi ya Daudi. Bwana amwambia Bwana wangu: “Keti mkono wangu wa kuume, mpaka nitakapowafanya adui zako kuwa mahali pa kuweka miguu yako.”
Mazmur Daud. TUHAN berkata kepada tuanku, "Duduklah di sebelah kanan-Ku, sampai musuh-musuhmu Kutaklukkan kepadamu."
2 Bwana ataeneza fimbo yako ya utawala yenye nguvu kutoka Sayuni; utatawala katikati ya adui zako.
Dari Sion TUHAN akan meluaskan kerajaanmu; berkuasalah atas musuh-musuhmu!
3 Askari wako watajitolea kwa hiari katika siku yako ya vita. Ukiwa umevikwa fahari takatifu, kutoka tumbo la mapambazuko utapokea umande wa ujana wako.
Pada hari engkau datang dengan kuasa, di bukit yang suci, rakyatmu maju dengan sukarela. Laksana embun di pagi hari, para pemuda datang kepadamu.
4 Bwana ameapa, naye hatabadilisha mawazo yake: “Wewe ni kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.”
Dengan sumpah TUHAN telah berjanji, Ia tak akan menariknya kembali, "Engkaulah imam untuk selama-lamanya, seperti Melkisedek."
5 Bwana yuko mkono wako wa kuume, atawaponda wafalme siku ya ghadhabu yake.
TUHAN ada di sebelah kananmu, bila Ia marah, raja-raja dikalahkan-Nya.
6 Atawahukumu mataifa, akilundika mizoga na kuwaponda watawala wa dunia nzima.
Ia akan menghukum bangsa-bangsa, sehingga mayat-mayat berserakan. Ia akan membinasakan para penguasa di seluruh muka bumi.
7 Atakunywa maji katika kijito kando ya njia, kwa hiyo atainua kichwa chake juu.
Raja akan minum dari sungai di tepi jalan, setelah dikuatkan, ia akan menang.

< Zaburi 110 >