< Zaburi 110 >

1 Zaburi ya Daudi. Bwana amwambia Bwana wangu: “Keti mkono wangu wa kuume, mpaka nitakapowafanya adui zako kuwa mahali pa kuweka miguu yako.”
(Af David. En Salme.) HERREN sagde til min Herre: "Sæt dig ved min højre hånd, til jeg lægger dine fjender som en skammel for dine fødder!"
2 Bwana ataeneza fimbo yako ya utawala yenye nguvu kutoka Sayuni; utatawala katikati ya adui zako.
Fra Zion udrækker HERREN din Vældes Spir; hersk midt iblandt dine Fjender!
3 Askari wako watajitolea kwa hiari katika siku yako ya vita. Ukiwa umevikwa fahari takatifu, kutoka tumbo la mapambazuko utapokea umande wa ujana wako.
Dit Folk møder villigt frem på din Vældes Dag; i hellig Prydelse kommer dit unge Mandskab til dig, som Dug af Morgenrødens Moderskød.
4 Bwana ameapa, naye hatabadilisha mawazo yake: “Wewe ni kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.”
HERREN har svoret og angrer det ej: "Du er Præst evindelig på Melkizedeks Vis."
5 Bwana yuko mkono wako wa kuume, atawaponda wafalme siku ya ghadhabu yake.
Herren ved din højre knuser Konger på sin Vredes Dag,
6 Atawahukumu mataifa, akilundika mizoga na kuwaponda watawala wa dunia nzima.
blandt Folkene holder han Dom, fylder op med døde, knuser Hoveder viden om Lande.
7 Atakunywa maji katika kijito kando ya njia, kwa hiyo atainua kichwa chake juu.
Han drikker af Bækken ved Vejen, derfor løfter han Hovedet højt.

< Zaburi 110 >