< Zaburi 110 >
1 Zaburi ya Daudi. Bwana amwambia Bwana wangu: “Keti mkono wangu wa kuume, mpaka nitakapowafanya adui zako kuwa mahali pa kuweka miguu yako.”
David kah Tingtoenglung BOEIPA kah olphong loh ka Boeipa la, “Na thunkha na kho ham khotloeng la ka khueh hilah kai kah bantang benah ngol,” a ti nah.
2 Bwana ataeneza fimbo yako ya utawala yenye nguvu kutoka Sayuni; utatawala katikati ya adui zako.
Nang kah sarhi conghol te BOEIPA loh Zion lamkah han thak vetih na thunkha rhoek lakliah a taemrhai ni.
3 Askari wako watajitolea kwa hiari katika siku yako ya vita. Ukiwa umevikwa fahari takatifu, kutoka tumbo la mapambazuko utapokea umande wa ujana wako.
Na khuehtawn tue vaengah na pilnam loh rhuepomnah hmuencim ah kothoh a khueh vetih, na kah buemtui oila khaw khopo bung khui lamkah nang taengla ha pawk ni.
4 Bwana ameapa, naye hatabadilisha mawazo yake: “Wewe ni kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.”
”Melkhizedek banghui la kumhal duela na khosoih coeng,” tila BOEIPA loh a toemngam coeng dongah kohlawt mahpawh.
5 Bwana yuko mkono wako wa kuume, atawaponda wafalme siku ya ghadhabu yake.
Na bantang kah ka Boeipa loh a thintoek hnin ah manghai rhoek a phop ni.
6 Atawahukumu mataifa, akilundika mizoga na kuwaponda watawala wa dunia nzima.
Namtom ham lai a tloek vaengah rhok a hmoek vetih diklai pum kah a lu khaw a phop ni.
7 Atakunywa maji katika kijito kando ya njia, kwa hiyo atainua kichwa chake juu.
Long taengkah soklong tui te a ok vetih a lu a pomsang ni.