< Zaburi 110 >

1 Zaburi ya Daudi. Bwana amwambia Bwana wangu: “Keti mkono wangu wa kuume, mpaka nitakapowafanya adui zako kuwa mahali pa kuweka miguu yako.”
Hina Gode da na Hina Godema amane sia: i, “Na lobodafadili fili, amogai esaleawane, Na da Dia ha lai dunu da Dia emoga osa: laligima: ne hasalasimu.
2 Bwana ataeneza fimbo yako ya utawala yenye nguvu kutoka Sayuni; utatawala katikati ya adui zako.
Saione Goumia, Hina Gode da Dia Hina Bagade hou sedagilisimu. E amane sia: sa, “Dia ha lai dunu ili ouligima.”
3 Askari wako watajitolea kwa hiari katika siku yako ya vita. Ukiwa umevikwa fahari takatifu, kutoka tumbo la mapambazuko utapokea umande wa ujana wako.
Dia ha lai dunuma gegebe eso amoga, Dia fi dunu da hahawane Di fuligala: musa: misunu. Hehebolo mabe galu oubi mogele defele, Dia ayeligi dunu da Di hadigi agologa esalea, amogai Di fidimusa: misunu.
4 Bwana ameapa, naye hatabadilisha mawazo yake: “Wewe ni kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.”
Hina Gode da dafawanedafa ilegele sia: i. Amo E da bu hame afadenemu. E amane sia: i, “Di da Melegisedege gobele salasu dunu ea sosogo fi amo ganodini eso huluanedafa gobele salasu dunu esalumu.”
5 Bwana yuko mkono wako wa kuume, atawaponda wafalme siku ya ghadhabu yake.
Hina Gode da Dia lobodafadili lela. E da ougi heda: sea, osobo bagade hina bagade dunu hasalasimu.
6 Atawahukumu mataifa, akilundika mizoga na kuwaponda watawala wa dunia nzima.
E da fifi asi gala huluanema fofada: mu. E da gegesu sogebi amo, bogoi da: i hodo amoga nabalesimu. E da osobo bagade huluane amo ganodini, Hina bagade dunu huluane hasalasimu.
7 Atakunywa maji katika kijito kando ya njia, kwa hiyo atainua kichwa chake juu.
Hina Bagade da hano amo logo bega: dalebe, amoga dili manu. Amola amoga gasa laiba: le, E da gasa fili aligili, gegenanu hasalasimu.

< Zaburi 110 >