< Zaburi 11 >

1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Kwa Bwana ninakimbilia, unawezaje basi kuniambia: “Ruka kama ndege kwenye mlima wako.
Agkamangak kenni Yahweh; apay a kunaem kaniak, “Tumayabka a kasla billit nga agturong iti bantay”?
2 Hebu tazama, waovu wanapinda pinde zao, huweka mishale kwenye uzi wake, wakiwa gizani ili kuwapiga wale wanyofu wa moyo.
Ta kitaem! Insagana dagiti nadangkes dagiti panada. Iti kasipngetan, isaganada nga ibiat dagiti panada a mangipuntiria kadagiti nalinteg ti pusona.
3 Wakati misingi imeharibiwa, mwenye haki anaweza kufanya nini?”
Ta no nadadael dagiti pundasion, anianto ti maaramidan dagiti nalinteg?
4 Bwana yuko ndani ya Hekalu lake takatifu; Bwana yuko kwenye kiti chake cha enzi mbinguni. Huwaangalia wana wa watu, macho yake yanawajaribu.
Adda ni Yahweh iti nasantoan a templona; kumitkita dagiti matana, suksukimaten dagiti matana dagiti annak dagiti tattao.
5 Bwana huwajaribu wenye haki, lakini waovu na wanaopenda jeuri, nafsi yake huwachukia.
Agpada a suksukimaten ni Yahweh dagiti nalinteg ken dagiti nadangkes, ngem kagurgurana dagiti mangay-ayat nga agaramid iti kinaranggas.
6 Atawanyeshea waovu makaa ya moto mkali na kiberiti kinachowaka, upepo wenye joto kali ndio fungu lao.
Pagtudoenna iti dumardarang a beggang ken asufre kadagiti nadangkes; maysanto a makasinit nga angin ti pasetda iti kopana!
7 Kwa kuwa Bwana ni mwenye haki, yeye hupenda haki. Wanyofu watauona uso wake.
Ta nalinteg ni Yahweh, ken ay-ayatenna ti kinalinteg; makitanto dagiti nalinteg ti rupana.

< Zaburi 11 >