< Zaburi 11 >

1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Kwa Bwana ninakimbilia, unawezaje basi kuniambia: “Ruka kama ndege kwenye mlima wako.
Til Sangmesteren. Af David. Jeg tager min Tilflugt til HERREN! Hvor kan I sige til min Sjæl: »Fly som en Fugl til Bjergene!
2 Hebu tazama, waovu wanapinda pinde zao, huweka mishale kwenye uzi wake, wakiwa gizani ili kuwapiga wale wanyofu wa moyo.
Thi se, de gudløse spænder Buen, lægger Pilen til Rette paa Strengen for i Mørke at ramme de oprigtige af Hjertet.
3 Wakati misingi imeharibiwa, mwenye haki anaweza kufanya nini?”
Naar selv Grundpillerne styrter, hvad gør den retfærdige da?«
4 Bwana yuko ndani ya Hekalu lake takatifu; Bwana yuko kwenye kiti chake cha enzi mbinguni. Huwaangalia wana wa watu, macho yake yanawajaribu.
HERREN er i sin hellige Hal, i Himlen er HERRENS Trone; paa Jorderig skuer hans Øjne ned, hans Blik ransager Menneskens Børn;
5 Bwana huwajaribu wenye haki, lakini waovu na wanaopenda jeuri, nafsi yake huwachukia.
retfærdige og gudløse ransager HERREN; dem, der elsker Uret, hader hans Sjæl;
6 Atawanyeshea waovu makaa ya moto mkali na kiberiti kinachowaka, upepo wenye joto kali ndio fungu lao.
over gudløse sender han Regn af Gløder og Svovl, et Stormvejr er deres tilmaalte Bæger.
7 Kwa kuwa Bwana ni mwenye haki, yeye hupenda haki. Wanyofu watauona uso wake.
Thi retfærdig er HERREN, han elsker at øve Retfærd, de oprigtige skuer hans Aasyn!

< Zaburi 11 >