< Zaburi 11 >

1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Kwa Bwana ninakimbilia, unawezaje basi kuniambia: “Ruka kama ndege kwenye mlima wako.
Přednímu zpěváku, žalm Davidův. V Hospodina doufám, kterakž tedy říkáte duši mé: Uleť s hory své jako ptáče?
2 Hebu tazama, waovu wanapinda pinde zao, huweka mishale kwenye uzi wake, wakiwa gizani ili kuwapiga wale wanyofu wa moyo.
Nebo aj, bezbožníci napínají lučiště, přikládají šípy své na tětivo, aby stříleli skrytě na upřímé srdcem.
3 Wakati misingi imeharibiwa, mwenye haki anaweza kufanya nini?”
Ale těmi usilováními zkaženi budou; nebo spravedlivý co učinil?
4 Bwana yuko ndani ya Hekalu lake takatifu; Bwana yuko kwenye kiti chake cha enzi mbinguni. Huwaangalia wana wa watu, macho yake yanawajaribu.
Hospodin jest v chrámě svatém svém, trůn Hospodinův v nebi jest; oči jeho hledí, víčka jeho zkušují synů lidských.
5 Bwana huwajaribu wenye haki, lakini waovu na wanaopenda jeuri, nafsi yake huwachukia.
Hospodin zkušuje spravedlivého, bezbožníka pak a milujícího nepravost nenávidí duše jeho.
6 Atawanyeshea waovu makaa ya moto mkali na kiberiti kinachowaka, upepo wenye joto kali ndio fungu lao.
Dštíti bude na bezbožníky uhlím řeřavým, ohněm a sirou, a duch vichřice bude částka kalicha jejich.
7 Kwa kuwa Bwana ni mwenye haki, yeye hupenda haki. Wanyofu watauona uso wake.
Nebo Hospodin spravedlivý jest, spravedlnost miluje, na upřímého oči jeho patří.

< Zaburi 11 >