< Zaburi 109 >

1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Ee Mungu, ambaye ninakusifu, usiwe kimya,
MAIN Kot, me i kin kapikapina, kom der kotin japaimokid!
2 kwa maana watu waovu na wadanganyifu wamefungua vinywa vyao dhidi yangu; wasema dhidi yangu kwa ndimi za udanganyifu.
Pwe au en me doo jan Kot, o me kin kotaue jara don ia, re lokelokaia on ia ki lo likam.
3 Wamenizunguka kwa maneno ya chuki, wananishambulia bila sababu.
Re lokaia jued on ia waja karoj, o pei on ia ni jo karepa
4 Wanachonilipa badala ya urafiki wangu ni kunishtaki, lakini mimi ninawaombea.
Ni ai pok on ir, re kin imwintiti on ia; a nai kin poten kapakap.
5 Wananilipiza mabaya kwa mema, chuki badala ya urafiki wangu.
Irail depukki ai me mau me jued, o re kin tata kin ia ni ai pok on ir.
6 Agiza mtu mwovu ampinge, mshtaki asimame mkono wake wa kuume.
Kotin kajapwiladan i me doo jan Kot amen, pwen a jaunkapun o me palian I, en mi ni pali maun a.
7 Anapohukumiwa, apatikane na hatia, nayo maombi yake yamhukumu.
Ma a pan pakajau, a pan pakadeikada, pil a kapakap en kadipala i.
8 Siku zake za kuishi na ziwe chache, nafasi yake ya uongozi ichukuliwe na mtu mwingine.
A ran akan en malaulaula, o a koa en ko on amen.
9 Watoto wake na waachwe yatima, mke wake na awe mjane.
Na jeri kan en japoupou, o a paud en li odi amen.
10 Watoto wake na watangetange wakiomba, na wafukuzwe kwenye magofu ya nyumba zao.
Na jeri kan en janjarwaru jili o wia poekipoek, o re rapaki kan ar mana, doo jan nan moan im arail.
11 Mtu anayemdai na ateke vyote alivyo navyo, matunda ya kazi yake yatekwe nyara na wageni.
Me norok moni en pitia jan i a meakoaroj, o men wai en kulia jan i a dipijou kan.
12 Asiwepo mtu yeyote wa kumtendea mema wala wa kuwahurumia yatima wake.
O jota me pan kadek on i, o jota me pan jauja na japoupou kan.
13 Uzao wake na ukatiliwe mbali, majina yao yafutike katika kizazi kifuatacho.
Kadaudok a en kokoka jan; o mar arail en niki jan nin di kaieu.
14 Maovu ya baba zake na yakumbukwe mbele za Bwana, dhambi ya mama yake isifutwe kamwe.
Japun en jam a ko en janjal mon Ieowa, o dip en in a ender lapwada.
15 Dhambi zao na zibaki daima mbele za Bwana, ili apate kukatilia mbali kumbukumbu lao duniani.
Ieowa en kotin majamajan irail ajau karoj, o kataman parail en niki jan in jappa.
16 Kwa maana kamwe hakuweza kutenda wema, bali alimfukuza mnyonge na mhitaji, aliwafanyia jeuri wahitaji na waliovunjika moyo.
Pweki a jota man kadek, pwe a pakipaki me luet o jamama, o me injenjued, pwen kamela i.
17 Alipenda kulaani, nayo laana ikampata; hakupenda kubariki, kwa hiyo baraka na ikae mbali naye.
O a inon ion en riala; ari en lel on! O a jota injenoki kapai, ari, en doo jan i!
18 Alivaa kulaani kama vazi lake, nayo laana ikamwingia mwilini mwake kama maji, kwenye mifupa yake kama mafuta.
A kapwateki me jued duata a likau, ari me jued en kolon lole dueta pil o nan kokon akan dueta le.
19 Na iwe kama joho alilozungushiwa, kama mshipi aliofungiwa daima.
Me jued en rajon a likau pup, me a kin likauwiada, o rajon men pirapir me a kin pirapireki.
20 Haya na yawe malipo ya Bwana kwa washtaki wangu, kwa wale wanaoninenea mabaya.
Iduen Ieowa pan kotin pwain on me palian ia, o me kin lokaia jued duen nai.
21 Lakini wewe, Ee Bwana Mwenyezi, unitendee wema kwa ajili ya jina lako, uniokoe kwa wema wa pendo lako.
A komui, Main Ieowa ai Kot kotin wiawia ia, pweki mar omui; pwe omui kalanan kajampwal, dore ia la!
22 Maana mimi ni maskini na mhitaji, moyo wangu umejeruhiwa ndani yangu.
Pwe nai me luet o jamama, o nan monion i olar.
23 Ninafifia kama kivuli cha jioni, nimerushwa-rushwa kama nzige.
I kin tanwei dueta mota, o i pan kamajak wei dueta manjiek amen.
24 Magoti yangu yamelegea kwa kufunga, mwili wangu umedhoofika na kukonda.
Na i kat luete kilar kaijejol, o uduk ai tikitikilar;
25 Nimekuwa kitu cha kudharauliwa kwa washtaki wangu, wanionapo, hutikisa vichwa vyao.
O i wialar men lalaue re’rail; ni ar kilan ia, re kin due duailok!
26 Ee Bwana, Mungu wangu nisaidie, niokoe sawasawa na upendo wako.
Main Ieowa, ai Kot, kom kotin dore ia la duen omui kalanan!
27 Watu na wafahamu kuwa ni mkono wako, kwamba wewe, Ee Bwana, umetenda hili.
Pwe ren aja, mepukat tapi jan ni lim omui, me komui Ieowa kotin wiadar mepukat.
28 Wanaweza kulaani, lakini wewe utabariki, watakaposhambulia wataaibishwa, lakini mtumishi wako atashangilia.
Menda, ma re lalaue, kom kotin kapai ia da. Ma re palian ia, ren namenokala, pwe japwilim omui ladu en pereperen.
29 Washtaki wangu watavikwa fedheha, na kufunikwa na aibu kama joho.
Re kotin wiai on ai imwintiti, ren likau kida namenok, o ren purion nan me jued dueta likau pup.
30 Kwa kinywa changu nitamtukuza sana Bwana, katika umati mkubwa nitamsifu.
I pan danke Ieowa melel ni au ai, o i pan kapina i nan pun en me toto.
31 Kwa maana husimama mkono wa kuume wa mhitaji, kuokoa maisha yake kutoka kwa wale wanaomhukumu.
Pwe a kotikot ni pali maun en me jamama, pwen dorela i jan ir, me kadeikada i, en kamela.

< Zaburi 109 >