< Zaburi 108 >

1 Wimbo. Zaburi ya Daudi. Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti; nitaimba na kusifu kwa moyo wangu wote.
Pesem in psalm Davidov. Z radostnim srcem svojim, o Bog, bodem pel in prepeval, tudi slava moja.
2 Amka, kinubi na zeze! Nitayaamsha mapambazuko.
Vstanite, brenklje in citre; zbudim se sè zarijo.
3 Nitakusifu wewe, Ee Bwana, katikati ya mataifa; nitaimba habari zako, katikati ya jamaa za watu.
Slavil te bodem med ljudstvi, Gospod; in prepeval ti bodem med narodi:
4 Kwa maana upendo wako ni mkuu, ni juu kuliko mbingu; uaminifu wako unazifikia anga.
Velika je nad nebesa milost tvoja, in noter do gornjih oblakov resnica tvoja.
5 Ee Mungu, utukuzwe juu ya mbingu, utukufu wako na uenee duniani kote.
Povzdigni se nad nebesa, o Bog; in čez vso zemljo slava tvoja!
6 Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume, ili wale uwapendao wapate kuokolewa.
Da se rešijo izvoljeni tvoji, pomagaj z desnico svojo in usliši me.
7 Mungu amenena kutoka patakatifu pake: “Nitaigawa Shekemu kwa ushindi na kulipima Bonde la Sukothi.
Bog jo govoril po svetosti svoji; radoval se bodem, v dél dobodem Sihem, in dolino Sukotsko merim.
8 Gileadi ni yangu, Manase ni yangu, Efraimu ni kofia yangu ya chuma, nayo Yuda ni fimbo yangu ya utawala.
Moj je Gilead, moj Manase, in Efrajm moč glave moje, Juda poveljnik moj.
9 Moabu ni sinia langu la kunawia, juu ya Edomu natupa kiatu changu; nashangilia kwa kushindwa kwa Ufilisti.”
Moab umivalnik moj; čez Edom vržem svoj čevelj; proti Palestini bodem ukal.
10 Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome? Ni nani atakayeniongoza hadi nifike Edomu?
Kdo me popelje v utrjeno mesto, kdo me popelje do Edoma?
11 Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi, na hutoki tena na majeshi yetu?
Ali nisi bil ti, o Bog, zavrgel nas? da nisi hodil, o Bog, med našimi vojskami?
12 Tuletee msaada dhidi ya adui, kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.
Daj nam pomoč zoper sovražnika; drugače je ničevost pomoč človeška.
13 Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi, naye atawaponda adui zetu.
V Bogu delajmo vrlo, in on bode poteptal sovražnike naše.

< Zaburi 108 >