< Zaburi 108 >
1 Wimbo. Zaburi ya Daudi. Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti; nitaimba na kusifu kwa moyo wangu wote.
Ein song, ein salme av David. Mitt hjarta er roleg, Gud, eg vil syngja og lovsyngja, ja, det skal mi æra.
2 Amka, kinubi na zeze! Nitayaamsha mapambazuko.
Vakna, harpa og cither! eg vil vekkja morgonroden.
3 Nitakusifu wewe, Ee Bwana, katikati ya mataifa; nitaimba habari zako, katikati ya jamaa za watu.
Eg vil prisa deg millom folki, Herre, eg vil lovsyngja deg millom folkeslagi.
4 Kwa maana upendo wako ni mkuu, ni juu kuliko mbingu; uaminifu wako unazifikia anga.
For di miskunn er stor yver himmelen, og din truskap til dei høge skyer.
5 Ee Mungu, utukuzwe juu ya mbingu, utukufu wako na uenee duniani kote.
Gud, syn deg høg yver himmelen, og di æra yver heile jordi!
6 Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume, ili wale uwapendao wapate kuokolewa.
At dei du elskar må verta frelste, hjelp oss med di høgre hand og bønhøyr oss!
7 Mungu amenena kutoka patakatifu pake: “Nitaigawa Shekemu kwa ushindi na kulipima Bonde la Sukothi.
Gud hev tala i sin heilagdom. «Eg vil gleda meg, eg vil skifta ut Sikem, og Sukkotdalen vil eg mæla.
8 Gileadi ni yangu, Manase ni yangu, Efraimu ni kofia yangu ya chuma, nayo Yuda ni fimbo yangu ya utawala.
Meg høyrer Gilead til, meg høyrer Manasse til, og Efraim er verja for mitt hovud, Juda er min førarstav.
9 Moabu ni sinia langu la kunawia, juu ya Edomu natupa kiatu changu; nashangilia kwa kushindwa kwa Ufilisti.”
Moab er mitt vaskefat, på Edom kastar eg skoen min, for Filistarland set eg i med fagnadrop.»
10 Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome? Ni nani atakayeniongoza hadi nifike Edomu?
Kven vil føra meg til den faste by? Kven leider meg til Edom?
11 Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi, na hutoki tena na majeshi yetu?
Hev ikkje du, Gud, støytt oss burt? og du, Gud, gjeng ikkje ut med våre herar.
12 Tuletee msaada dhidi ya adui, kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.
Gjev oss hjelp mot fienden! for mannehjelp er fåfengd.
13 Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi, naye atawaponda adui zetu.
Med Guds hjelp skal me gjera storverk, og han skal treda ned våre fiendar.