< Zaburi 108 >

1 Wimbo. Zaburi ya Daudi. Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti; nitaimba na kusifu kwa moyo wangu wote.
Migahiñe ty troko, ry Andrianañahare, hisaboako; handrengeako, eka, boak’ añovako ao.
2 Amka, kinubi na zeze! Nitayaamsha mapambazuko.
Mibarakaoha ry valiha naho jejo-bory! hitsekafako ty manjirik’ andro.
3 Nitakusifu wewe, Ee Bwana, katikati ya mataifa; nitaimba habari zako, katikati ya jamaa za watu.
Hañandriañe Azo iraho ry Iehovà, añivo’ o fifeheañeo; ho rengeko an-tsabo aivo’ ondatio.
4 Kwa maana upendo wako ni mkuu, ni juu kuliko mbingu; uaminifu wako unazifikia anga.
Amy te abo te amy likerañe eñey ty fiferenaiña’o; vaho mb’an-drahoñe ey ty figahiña’o.
5 Ee Mungu, utukuzwe juu ya mbingu, utukufu wako na uenee duniani kote.
Mionjona! ry Andrianañahare, mb’andindìn-dikerañe añe, naho ty enge’o mb’ ambone’ ty tane toy.
6 Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume, ili wale uwapendao wapate kuokolewa.
Soa te hahàñe o kokoa’oo, rombaho am-pità’o havana, vaho toiño iraho.
7 Mungu amenena kutoka patakatifu pake: “Nitaigawa Shekemu kwa ushindi na kulipima Bonde la Sukothi.
Nitsara ami’ty hamasiña’e t’i Andrianañahare: Hitreñe iraho, ho zaraeko ty Sekeme ho tsahareko ty vavatane’ i Sokote.
8 Gileadi ni yangu, Manase ni yangu, Efraimu ni kofia yangu ya chuma, nayo Yuda ni fimbo yangu ya utawala.
Ahy t’i Gilade, Ahiko t’i Menasè; naho fikalan-dohako t’i Efraime, vaho kobaiko t’Iehodà;
9 Moabu ni sinia langu la kunawia, juu ya Edomu natupa kiatu changu; nashangilia kwa kushindwa kwa Ufilisti.”
Sajoa fisasàko t’i Moabe, apoko amy Edome ty hànako; ambone’ i Pilistý ey ty hitreñako.
10 Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome? Ni nani atakayeniongoza hadi nifike Edomu?
Ia ty hinday ahy mb’amy rova fatratsey ao? Ia ty hiaolo ahy mb’ Edome mb’eo?
11 Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi, na hutoki tena na majeshi yetu?
Fa naforintse’o hao zahay, ry Andrianañahare? Tsy hitraofe’o fionjoñe hao o lahin-defo’aio, ry Andrianañahare?
12 Tuletee msaada dhidi ya adui, kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.
Ehe oloro amo rafelahio, fa tsy vente’e ty fandrombaha’ ondatio.
13 Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi, naye atawaponda adui zetu.
Hampanjofak’anay t’i Andrianañahare, ie ty handialia o rafelahi’aio.

< Zaburi 108 >