< Zaburi 108 >

1 Wimbo. Zaburi ya Daudi. Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti; nitaimba na kusifu kwa moyo wangu wote.
Laulu; Daavidin virsi. Minun sydämeni on valmis, Jumala, minä tahdon veisata ja soittaa; valmis on minun sieluni.
2 Amka, kinubi na zeze! Nitayaamsha mapambazuko.
Heräjä, harppu ja kannel. Minä tahdon herättää aamuruskon.
3 Nitakusifu wewe, Ee Bwana, katikati ya mataifa; nitaimba habari zako, katikati ya jamaa za watu.
Herra, sinua minä kiitän kansojen joukossa ja veisaan sinun kiitostasi kansakuntien keskellä.
4 Kwa maana upendo wako ni mkuu, ni juu kuliko mbingu; uaminifu wako unazifikia anga.
Sillä suuri on sinun armosi ja ulottuu ylitse taivasten ja sinun totuutesi hamaan pilviin asti.
5 Ee Mungu, utukuzwe juu ya mbingu, utukufu wako na uenee duniani kote.
Korota itsesi yli taivasten, Jumala, ja levitköön sinun kunniasi yli kaiken maan.
6 Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume, ili wale uwapendao wapate kuokolewa.
Että sinun rakkaasi pelastetuiksi tulisivat, auta oikealla kädelläsi ja vastaa minulle.
7 Mungu amenena kutoka patakatifu pake: “Nitaigawa Shekemu kwa ushindi na kulipima Bonde la Sukothi.
Jumala on puhunut pyhäkössänsä. Minä riemuitsen, minä jaan Sikemin ja mittaan Sukkotin laakson.
8 Gileadi ni yangu, Manase ni yangu, Efraimu ni kofia yangu ya chuma, nayo Yuda ni fimbo yangu ya utawala.
Minun on Gilead, ja minun on Manasse; Efraim on minun pääni suojus, Juuda minun valtikkani.
9 Moabu ni sinia langu la kunawia, juu ya Edomu natupa kiatu changu; nashangilia kwa kushindwa kwa Ufilisti.”
Mooab on minun pesuastiani, Edomiin minä viskaan kenkäni, minä riemuitsen Filistean maasta.
10 Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome? Ni nani atakayeniongoza hadi nifike Edomu?
Kuka vie minut varustettuun kaupunkiin? Kuka saattaa minut Edomiin?
11 Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi, na hutoki tena na majeshi yetu?
Etkö sinä, Jumala, hyljännyt meitä? Et lähtenyt, Jumala, meidän sotajoukkojemme kanssa!
12 Tuletee msaada dhidi ya adui, kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.
Anna meille apu ahdistajaa vastaan, sillä turha on ihmisten apu.
13 Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi, naye atawaponda adui zetu.
Jumalan voimalla me teemme väkeviä tekoja; hän tallaa meidän vihollisemme maahan.

< Zaburi 108 >