< Zaburi 108 >

1 Wimbo. Zaburi ya Daudi. Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti; nitaimba na kusifu kwa moyo wangu wote.
En Sang. En Salme af David.
2 Amka, kinubi na zeze! Nitayaamsha mapambazuko.
Mit Hjerte er trøstigt, Gud, mit Hjerte er trøstigt; jeg vil synge og lovprise dig, vaagn op, min Ære!
3 Nitakusifu wewe, Ee Bwana, katikati ya mataifa; nitaimba habari zako, katikati ya jamaa za watu.
Harpe og Citer, vaagn op, jeg vil vække Morgenrøden.
4 Kwa maana upendo wako ni mkuu, ni juu kuliko mbingu; uaminifu wako unazifikia anga.
Jeg vil takke dig, HERRE, blandt Folkeslag, lovprise dig blandt Folkefærd;
5 Ee Mungu, utukuzwe juu ya mbingu, utukufu wako na uenee duniani kote.
thi din Miskundhed naar til Himlen, din Sandhed til Skyerne.
6 Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume, ili wale uwapendao wapate kuokolewa.
Løft dig, o Gud, over Himlen, din Herlighed være over al Jorden!
7 Mungu amenena kutoka patakatifu pake: “Nitaigawa Shekemu kwa ushindi na kulipima Bonde la Sukothi.
Til Frelse for dine elskede hjælp med din højre, bønhør os!
8 Gileadi ni yangu, Manase ni yangu, Efraimu ni kofia yangu ya chuma, nayo Yuda ni fimbo yangu ya utawala.
Gud talede i sin Helligdom: »Jeg vil udskifte Sikem med Jubel, udmaale Sukkots Dal;
9 Moabu ni sinia langu la kunawia, juu ya Edomu natupa kiatu changu; nashangilia kwa kushindwa kwa Ufilisti.”
mit er Gilead, mit er Manasse, Efraim er mit Hoveds Værn, Juda min Herskerstav,
10 Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome? Ni nani atakayeniongoza hadi nifike Edomu?
Moab min Vaskeskaal, paa Edom kaster jeg min Sko, over Filisterland jubler jeg.«
11 Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi, na hutoki tena na majeshi yetu?
Hvo bringer mig til den befæstede By, hvo leder mig hen til Edom?
12 Tuletee msaada dhidi ya adui, kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.
Har du ikke, Gud, stødt os fra dig? Du ledsager ej vore Hære.
13 Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi, naye atawaponda adui zetu.
Giv os dog Hjælp mod Fjenden! Blændværk er Menneskers Støtte. Med Gud skal vi øve vældige Ting, vore Fjender træder han ned!

< Zaburi 108 >