< Zaburi 107 >

1 Mshukuruni Bwana, kwa kuwa yeye ni mwema, upendo wake wadumu milele.
Andriañeñe t’Iehovà, amy te Ie ro soa; nainai’e ty fiferenaiña’e.
2 Waliokombolewa wa Bwana na waseme hivi, wale aliowaokoa kutoka mkono wa adui,
Ano izay ry jineba’ Iehovà— ry nijebañe’e am-pitàn-drafelahy,
3 wale aliowakusanya kutoka nchi mbalimbali, kutoka mashariki na magharibi, kutoka kaskazini na kusini.
vaho hinoloholo’e hirik’ amo taneo, boak’atiñanañe naho ­ahandrefañ’ añe, boak’ avaratse vaho hirik’ amy riakey.
4 Baadhi yao walitangatanga jangwani, hawakuona njia ya kuwafikisha mji ambao wangeweza kuishi.
Nirererere ambabangoañ’ añe iereo, an-dratraratra ao, tsy nahaonin-drova fimoneñañe.
5 Walikuwa na njaa na kiu, nafsi zao zikadhoofika.
Nisalikoeñe naho taliñiereñe, nitoirañe añ’ova ao ty fiai’ iareo.
6 Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao, naye akawaokoa kutoka taabu yao.
Le nitoreo am’ Iehovà an-kaloviloviañe naho hinaha’e amo hasotria’iareoo,
7 Akawaongoza kwa njia iliyo sawa hadi mji ambao wangeweza kuishi.
Nindese’e mb’an-dalam-bantam-beo higodañe mb’an-drova fimoneñañe añe.
8 Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma, na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu,
Handriañe’ iereo t’Iehovà ty amy fiferenaiña’ey naho o fitoloña’e fanjaka amo ana’ondatioo,
9 kwa maana yeye humtosheleza mwenye kiu, na kumshibisha mwenye njaa kwa vitu vyema.
fa nieneñe’e ty fiaiñe taliñiereñe, nanjañe’e raha soa ty troke nilimpoa.
10 Wengine walikaa gizani na katika huzuni kuu, wafungwa wakiteseka katika minyororo,
Teo ty nitozòke añ’ieñe ao naho an-talinjon-kavilasy ao, rinohy an-kasotriañe naho vý,
11 kwa sababu walikuwa wameasi dhidi ya maneno ya Mungu na kudharau shauri la Aliye Juu Sana.
amy t’ie niody amo fepèn’Añahareo, vaho nañovok’ i famerea’ i Andindimoneñey.
12 Aliwatumikisha kwa kazi ngumu; walijikwaa na hapakuwepo yeyote wa kuwasaidia.
Aa le nampibokohe’e ty arofo’ iareo am-pitromahañe, nampidaleandaleañe tsy amam-pañimba.
13 Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao, naye akawaokoa kutoka taabu yao.
Le nitoreo am’ Iehovà t’ie niankoheke, le rinomba’e amo fikoretañeo;
14 Akawatoa katika giza na huzuni kuu na akavunja minyororo yao.
naaka’e boak’ añ’ieñe naho an-talinjon-kavilasy ao, vaho nipoñafe’e o silisilio.
15 Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma, na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu,
Handriañe’ iareo t’i Iehovà ty amy fiferenaiña’ey naho o halatsañe nanoe’e amo ana’ ondatioo,
16 kwa kuwa yeye huvunja malango ya shaba na kukata mapingo ya chuma.
amy te pinaratsà’e o lalam-bey torisìkeo naho pinozapoza’e o doda viñeo.
17 Wengine wakawa wapumbavu kutokana na uasi wao, wakapata mateso kwa sababu ya uovu wao.
Nampisotriañe o seretseo ty amo fiolà’eo, naho o tahi’eo.
18 Wakachukia kabisa vyakula vyote, wakakaribia malango ya mauti.
Nampangori’ ty fiai’ iareo ze atao hàneñe, ie nitotoke o lalam-bein-kavilasio.
19 Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao, naye akawaokoa kutoka taabu yao.
Le nitoreo am’ Iehovà t’ie niampoheke, vaho rinomba’e amo haemberañeo.
20 Akalituma neno lake na kuwaponya, akawaokoa kutoka maangamizo yao.
Nahitri’e i tsara’ey nahajangañe iareo vaho navotso’e amy kiboriy.
21 Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma, na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu.
Andriañe’ iereo t’Iehovà ty amy fiferenaiña’ey naho o halatsañe fanoe’e amo ana’ondatioo,
22 Na watoe dhabihu za kushukuru, na wasimulie matendo yake kwa nyimbo za furaha.
Ee t’ie hibanabana sorom- pañandriañañe naho hitalily o fitoloña’eo an-drebeke;
23 Wengine walisafiri baharini kwa meli, walikuwa wafanyabiashara kwenye maji makuu.
Ao ty mizotso mb’an-tsambo an-driake ey; o mpanao balibalik’ an-drano mieneneo,
24 Waliziona kazi za Bwana, matendo yake ya ajabu kilindini.
Fa niisa’ iareo o sata’ Iehovào, o halatsàñe fanoe’e an-dalekeo.
25 Kwa maana alisema na kuamsha tufani iliyoinua mawimbi juu.
Amy tsara’ey, nitroatse ty tio-bey, nampitoabotse o alon-driakeo.
26 Yakainuka juu mbinguni, yakashuka chini hadi vilindini, katika hatari hii ujasiri wao uliyeyuka.
Nionjomb’an-dindimb’eo iereo, vaho nizotso mb’an-dalek’ ao; nitranak’ ami’ty hekoheko’e ty fiai’iareo.
27 Walipepesuka na kuyumbayumba kama walevi, ujanja wao ukafikia ukomo.
Nivembeñe, nisiotsiotse hoe jike; fonga nilesa ty hihi’ iareo.
28 Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao, naye akawatoa kwenye taabu yao.
Nitoreove’ iareo t’Iehovà an-kasosorañe, vaho natsoa’e an-kasotriañe.
29 Akatuliza dhoruba kwa mnongʼono, mawimbi ya bahari yakatulia.
Nampipendreñe’e i tio-beiy, le nitsiñe o onjan-driakeo.
30 Walifurahi ilipokuwa shwari, naye akawaongoza hadi bandari waliyoitamani.
Niehake iereo te nibànatse, vaho nitehafe’e mb’amy fipalirañe nisalalaeñey.
31 Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma, na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu.
Handriañe’ iereo t’Iehovà ty amy fiferenaiña’ey, naho o halatsañe fanoe’e amo ana’ ondatioo.
32 Na wamtukuze yeye katika kusanyiko la watu, na wamsifu katika baraza la wazee.
Ee t’ie honjone’ iareo am-pivori’ ondatio vaho handrenge Aze ami’ty fiambesa’ o androanavio.
33 Yeye aligeuza mito kuwa jangwa, chemchemi za maji zitiririkazo kuwa ardhi yenye kiu,
Afote’e ho ratraratra o sakao, naho ho tane kankañe o torahañeo;
34 nchi izaayo ikawa ya chumvi isiyofaa, kwa sababu ya uovu wa wale walioishi humo.
ho fatran-tsira ty tane kobokara, ty ami’ty tsihavokara’ o mpitobok’ ama’eo.
35 Aligeuza jangwa likawa madimbwi ya maji, nayo ardhi kame kuwa chemchemi za maji zitiririkazo;
Ampanginakinahe’e o tane mihedatseo, vaho ampanganahanae’e o kirikintañeo;
36 aliwaleta wenye njaa wakaishi humo, nao wakajenga mji wangeweza kuishi.
hampitobea’e o limpoañeo, hañoreña’iareo rova fimoneñañe.
37 Walilima mashamba na kupanda mizabibu, nayo ikazaa matunda mengi,
Handrarake an-teteke ao iereo, naho hambole tetem-bahe, vaho hanonton-tsabo vokatse;
38 Mungu aliwabariki, hesabu yao ikaongezeka sana, wala hakuruhusu mifugo yao kupungua.
Tahie’e ka iereo hanaranàha’e maro, le tsy apo’e hiha-rìtse o añombe’eo.
39 Kisha hesabu yao ilipungua, na walinyenyekeshwa kwa kuonewa, maafa na huzuni.
Ie nitaketrake iereo, ninìke ami’ty famorekekeañe, naho fanilofañe, vaho anahelo;
40 Yeye ambaye huwamwagia dharau wakuu, aliwafanya watangetange nyikani isiyo na njia.
ampidoaña’e ìnje o roandriañeo, ampiriorioe’e am-bangý tsy aman-dalañe añe,
41 Lakini yeye aliwainua wahitaji katika taabu zao, na kuongeza jamaa zao kama makundi ya kondoo.
toe aonjo’e ambone’ o hasotriañeo i rarakey, vaho anoe hoe lia-raike o hasavereña’eo.
42 Wanyofu wataona na kufurahi, lakini waovu wote watafunga vinywa vyao.
Isa’ o vantañeo izay le mifale, fonga mamìm-bava ka ty hatsivokarañe.
43 Yeyote aliye na hekima, ayasikie mambo haya, na atafakari upendo mkuu wa Bwana.
Ia ty mahihitse, hiharaharà’e? ie ro mahafohiñe ty fiferenaiña’ Iehovà.

< Zaburi 107 >