< Zaburi 106 >
1 Msifuni Bwana. Mshukuruni Bwana, kwa kuwa ni mwema; upendo wake wadumu milele.
Louez l'Eternel. Célébrez l'Eternel; car il [est] bon, parce que sa bonté demeure à toujours.
2 Ni nani awezaye kusimulia matendo makuu ya Bwana au kutangaza kikamilifu sifa zake?
Qui pourrait réciter les exploits de l'Eternel? Qui pourrait faire retentir toute sa louange?
3 Heri wale wanaodumisha haki, ambao daima wanafanya yaliyo mema.
Ô que bienheureux sont ceux qui observent la justice, [et] qui font en tout temps ce qui est juste!
4 Ee Bwana, unikumbuke unapowatendea mema watu wako, uwe msaada wangu unapowaokoa,
Eternel, souviens-toi de moi selon la bienveillance que tu portes à ton peuple, et aie soin de moi selon ta délivrance.
5 ili niweze kufurahia mafanikio ya wateule wako, niweze kushiriki katika furaha ya taifa lako, na kuungana na urithi wako katika kukusifu.
Afin que je voie le bien de tes élus, que je me réjouisse dans la joie de ta nation, [et] que je me glorifie avec ton héritage.
6 Tumetenda dhambi, kama vile baba zetu walivyotenda, tumekosa na tumetenda uovu.
Nous avons péché avec nos pères, nous avons agi iniquement, nous avons mal fait.
7 Wakati baba zetu walipokuwa Misri, hawakuzingatia maajabu yako, wala hawakukumbuka wingi wa fadhili zako, bali waliasi kando ya bahari, Bahari ya Shamu.
Nos pères n'ont point été attentifs à tes merveilles en Egypte; ils ne se sont point souvenus de la multitude de tes faveurs; mais ils ont été rebelles auprès de la mer, vers la mer Rouge.
8 Hata hivyo aliwaokoa kwa ajili ya jina lake, ili apate kudhihirisha uweza wake mkuu.
Toutefois il les délivra pour l'amour de son Nom, afin de donner à connaître sa puissance.
9 Alikemea Bahari ya Shamu, nayo ikakauka, akawaongoza katika vilindi vyake kama vile jangwani.
Car il tança la mer Rouge, et elle se sécha, et il les conduisit par les gouffres comme par le désert;
10 Aliwaokoa mikononi mwa adui; kutoka mikononi mwa adui aliwakomboa.
Et les délivra de la main de ceux qui [les] haïssaient, et les garantit de la main de l'ennemi.
11 Maji yaliwafunika adui zao, hakunusurika hata mmoja.
Et les eaux couvrirent leurs oppresseurs, il n'en resta pas un seul.
12 Ndipo walipoamini ahadi zake, nao wakaimba sifa zake.
Alors ils crurent à ses paroles, [et] ils chantèrent sa louange.
13 Lakini mara walisahau aliyowatendea, wala hawakungojea shauri lake.
[Mais] ils mirent incontinent en oubli ses œuvres, et ne s'attendirent point à son conseil.
14 Jangwani walitawaliwa na tamaa zao, walimjaribu Mungu nyikani.
Mais ils furent épris de convoitise au désert, et ils tentèrent le [Dieu] Fort au lieu inhabitable.
15 Kwa hiyo aliwapa kile walichoomba, lakini akatuma juu yao ugonjwa wa kudhoofisha.
Alors il leur donna ce qu'ils avaient demandé, toutefois il leur envoya une phtisie en leur corps.
16 Kambini walimwonea wivu Mose, na pia Aroni aliyekuwa amewekwa wakfu kwa Bwana.
Ils portèrent envie à Moïse dans le camp, [et] à Aaron le saint de l'Eternel.
17 Ardhi ilifunguka ikawameza Dathani, ikawazika Abiramu na kundi lake.
La terre s'ouvrit, et engloutit Dathan, et couvrit la bande d'Abiram.
18 Moto uliwaka katikati ya wafuasi wao, mwali wa moto uliwateketeza waovu.
Aussi le feu s'alluma en leur assemblée, [et] la flamme brûla les méchants.
19 Huko Horebu walitengeneza ndama, na kuabudu sanamu ya kusubu kwa chuma.
Ils firent un veau en Horeb, et se prosternèrent devant l'image de fonte.
20 Waliubadilisha Utukufu wao kwa sanamu ya fahali, ambaye hula majani.
Ils changèrent leur gloire en la figure d'un bœuf qui mange l'herbe.
21 Walimsahau Mungu aliyewaokoa, aliyekuwa ametenda mambo makuu huko Misri,
Ils oublièrent le [Dieu] Fort, leur Libérateur, qui avait fait de grandes choses en Egypte;
22 miujiza katika nchi ya Hamu na mambo ya kutisha huko Bahari ya Shamu.
Des choses merveilleuses au pays de Cam, et des choses terribles sur la mer Rouge.
23 Kwa hiyo alisema kwamba angewaangamiza: kama Mose mteule wake, asingesimama kati yao na Mungu kuizuia ghadhabu yake kuwaangamiza.
C'est pourquoi il dit qu'il les détruirait; mais Moïse son élu se tint à la brèche devant lui, pour détourner sa fureur, afin qu'il ne [les] défît point.
24 Kisha waliidharau ile nchi nzuri, hawakuiamini ahadi yake.
Ils méprisèrent le pays désirable, [et] ne crurent point à sa parole.
25 Walinungʼunika ndani ya mahema yao, wala hawakumtii Bwana.
Et ils se mutinèrent dans leurs tentes, et n'obéirent point à la voix de l'Eternel.
26 Kwa hiyo akaapa kwa mkono ulioinuliwa kwamba atawafanya waanguke jangwani,
C'est pourquoi il leur jura la main levée, qu'il les renverserait dans le désert,
27 kuwatawanya wazao wao waanguke miongoni mwa mataifa, na kuwatawanya katika nchi zote.
Et qu'il accablerait leur postérité parmi les nations, et qu'il les disperserait par les pays.
28 Walijifunga nira na Baali wa Peori, wakala dhabihu zilizotolewa kwa miungu isiyo na uhai.
Ils se joignirent aux adorateurs de Bahal-Péhor, et mangèrent des sacrifices des morts.
29 Waliichochea hasira ya Bwana, wakamkasirisha kwa matendo yao maovu, nayo tauni ikazuka katikati yao.
Et ils dépitèrent [Dieu] par les choses à quoi ils s'adonnèrent, tellement qu'une plaie fit brèche sur eux.
30 Lakini Finehasi alisimama na kuingilia kati, nayo tauni ikazuiliwa.
Mais Phinées se présenta, et fit justice; et la plaie fut arrêtée.
31 Hili likahesabiwa kwake haki, kwa vizazi visivyo na mwisho vijavyo.
Et cela lui a été alloué pour justice dans tous les âges à jamais.
32 Kwenye maji ya Meriba, walimkasirisha Bwana, janga likampata Mose kwa sababu yao;
Ils excitèrent aussi sa colère près des eaux de Mériba, et il en avint du mal à Moïse à cause d'eux.
33 kwa maana walimwasi Roho wa Mungu, na maneno yasiyofaa yakatoka midomoni kwa Mose.
Car ils chagrinèrent son esprit, et il parla légèrement de ses lèvres.
34 Hawakuyaangamiza yale mataifa kama Bwana alivyowaagiza,
Ils n'ont point détruit les peuples que l'Eternel leur avait dit;
35 bali walijichanganya na mataifa na wakazikubali desturi zao.
Mais ils se sont mêlés parmi ces nations, et ils ont appris leurs manières de faire;
36 Waliabudu sanamu zao, zikawa mtego kwao.
Et ont servi à leurs faux dieux, lesquels leur ont été en pièges.
37 Wakawatoa wana wao na binti zao dhabihu kwa mashetani.
Car ils ont sacrifié leurs fils et leurs filles aux démons.
38 Walimwaga damu isiyo na hatia, damu za wana wao na binti zao, ambao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani, nayo nchi ikanajisika kwa damu zao.
Et ils ont répandu le sang innocent, le sang de leurs fils et de leurs filles, lesquels ils ont sacrifiés aux faux dieux de Canaan; et le pays a été souillé de sang.
39 Wakajinajisi wenyewe kwa yale waliyotenda; kwa matendo yao wenyewe wakajifanyia ukahaba.
Et ils ont été souillés par leurs œuvres, et ont paillardé par les choses à quoi ils se sont adonnés.
40 Kwa hiyo Bwana akawakasirikia watu wake na akauchukia sana urithi wake.
C'est pourquoi la colère de l'Eternel s'est embrasée contre son peuple, et il a eu en abomination son héritage.
41 Akawakabidhi kwa mataifa na adui zao wakawatawala.
Et il les a livrés entre les mains des nations, et ceux qui les haïssaient, ont dominé sur eux.
42 Adui zao wakawaonea na kuwatia chini ya mamlaka yao.
Et leurs ennemis les ont opprimés, et ils ont été humiliés sous leur main.
43 Mara nyingi aliwaokoa lakini walikuwa wamezama kwenye uasi, nao wakajiharibu katika dhambi zao.
Il les a souvent délivrés, mais ils l'ont irrité par leur conseil, et ils ont été mis en langueur par leur iniquité.
44 Lakini akaangalia mateso yao wakati aliposikia kilio chao;
Toutefois il les a regardés dans leur détresse, quand il entendait leur clameur.
45 kwa ajili yao akakumbuka agano lake, na kutokana na upendo wake mkuu akapooza hasira yake.
Et il s'est souvenu en leur faveur de son alliance, et s'est repenti selon la grandeur de ses compassions.
46 Akawafanya wahurumiwe na wote waliowashikilia mateka.
Et il a fait que ceux qui les avaient emmenés captifs, ont eu pitié d'eux.
47 Ee Bwana Mungu wetu, tuokoe. Tukusanye tena kutoka kwa mataifa, ili tuweze kulishukuru jina lako takatifu, na kushangilia katika sifa zako.
Eternel notre Dieu, délivre-nous et nous recueille d'entre les nations, afin que nous célébrions le Nom de ta sainteté, et que nous nous glorifiions en ta louange.
48 Atukuzwe Bwana, Mungu wa Israeli, tangu milele na hata milele. Watu wote na waseme, “Amen!” Msifuni Bwana.
Béni soit l'Eternel, le Dieu d'Israël, depuis un siècle jusqu’à l'autre siècle! et que tout le peuple dise, Amen! Louez l'Eternel.