< Zaburi 104 >

1 Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana. Ee Bwana Mungu wangu, wewe ni mkuu sana, umejivika utukufu na enzi.
to bless soul my [obj] LORD LORD God my to magnify much splendor and glory to clothe
2 Amejifunika katika nuru kama vile kwa vazi, amezitandaza mbingu kama hema
to enwrap light like/as garment to stretch heaven like/as curtain
3 na kuziweka nguzo za orofa yake juu ya maji. Huyafanya mawingu kuwa gari lake, na hupanda kwenye mbawa za upepo.
[the] to lay beams in/on/with water upper room his [the] to set: make cloud chariot his [the] to go: walk upon wing spirit: breath
4 Huzifanya pepo kuwa wajumbe wake, miali ya moto watumishi wake.
to make messenger his spirit: breath to minister him fire to kindle
5 Ameiweka dunia kwenye misingi yake, haiwezi kamwe kuondoshwa.
to found land: country/planet upon foundation her not to shake forever: enduring and perpetuity
6 Uliifunika kwa kilindi kama kwa vazi, maji yalisimama juu ya milima.
abyss like/as clothing to cover him upon mountain: mount to stand: stand water
7 Lakini kwa kukemea kwako maji yalikimbia, kwa sauti ya radi yako yakatoroka,
from rebuke your to flee [emph?] from voice: sound thunder your to hurry [emph?]
8 yakapanda milima, yakateremka mabondeni, hadi mahali pale ulipoyakusudia.
to ascend: rise mountain: mount to go down valley to(wards) place this to found to/for them
9 Uliyawekea mpaka ambao hayawezi kuuvuka, kamwe hayataifunika dunia tena.
border: boundary to set: make not to pass [emph?] not to return: again [emph?] to/for to cover [the] land: country/planet
10 Huzifanya chemchemi zimwage maji mabondeni, hutiririka kati ya milima.
[the] to send: depart spring in/on/with torrent: valley between mountain: mount to go: walk [emph?]
11 Huwapa maji wanyama wote wa kondeni, punda-mwitu huzima kiu yao.
to water: watering all living thing field to break wild donkey thirst their
12 Ndege wa angani hufanya viota kando ya maji, huimba katikati ya matawi.
upon them bird [the] heaven to dwell from between: among branch to give: do voice
13 Huinyeshea milima kutoka orofa zake, dunia inatoshelezwa kwa matunda ya kazi yake.
to water: watering mountain: mount from upper room his from fruit deed: work your to satisfy [the] land: country/planet
14 Huyafanya majani ya mifugo yaote, na mimea kwa watu kulima, wajipatie chakula kutoka ardhini:
to spring grass to/for animal and vegetation to/for service: work [the] man to/for to come out: send food from [the] land: country/planet
15 divai ya kuufurahisha moyo wa mwanadamu, mafuta kwa ajili ya kungʼarisha uso wake, na mkate wa kutia mwili nguvu.
and wine to rejoice heart human to/for to shine face from oil and food: bread heart human to support
16 Miti ya Bwana inanyeshewa vizuri, mierezi ya Lebanoni aliyoipanda.
to satisfy tree LORD cedar Lebanon which to plant
17 Humo ndege hufanya viota vyao, korongo ana nyumba yake kwenye msunobari.
which there bird to make a nest stork cypress house: home her
18 Milima mirefu ni makao ya mbuzi-mwitu, majabali ni kimbilio la pelele.
mountain: mount [the] high to/for goat crag refuge to/for rock badger
19 Mwezi hugawanya majira, na jua hutambua wakati wake wa kutua.
to make moon to/for meeting: time appointed sun to know entrance his
20 Unaleta giza, kunakuwa usiku, wanyama wote wa mwituni huzurura.
to set: make darkness and to be night in/on/with him to creep all living thing wood
21 Simba hunguruma kwa mawindo yao, na kutafuta chakula chao kutoka kwa Mungu.
[the] lion to roar to/for prey and to/for to seek from God food their
22 Jua huchomoza, nao huondoka, hurudi na kulala katika mapango yao.
to rise [the] sun to gather [emph?] and to(wards) habitation their to stretch [emph?]
23 Kisha mwanadamu huenda kazini mwake, katika kazi yake mpaka jioni.
to come out: come man to/for work his and to/for service: work his till evening
24 Ee Bwana, jinsi matendo yako yalivyo mengi! Kwa hekima ulizifanya zote, dunia imejaa viumbe vyako.
what? to multiply deed: work your LORD all their in/on/with wisdom to make to fill [the] land: country/planet acquisition your
25 Pale kuna bahari, kubwa na yenye nafasi tele, imejaa viumbe visivyo na idadi, vitu vyenye uhai vikubwa na vidogo.
this [the] sea great: large and broad: wide hand: spacious there creeping and nothing number living thing small with great: large
26 Huko meli huenda na kurudi, pia Lewiathani, uliyemuumba acheze ndani yake.
there fleet to go: went [emph?] Leviathan this to form: formed to/for to laugh in/on/with him
27 Hawa wote wanakutazamia wewe, uwape chakula chao kwa wakati wake.
all their to(wards) you to await [emph?] to/for to give: give food their in/on/with time his
28 Wakati unapowapa, wanakikusanya, unapofumbua mkono wako, wao wanashibishwa mema.
to give: give to/for them to gather [emph?] to open hand your to satisfy [emph?] good
29 Unapoficha uso wako, wanapata hofu, unapoondoa pumzi yao, wanakufa na kurudi mavumbini.
to hide face your to dismay [emph?] to gather spirit: breath their to die [emph?] and to(wards) dust their to return: return [emph?]
30 Unapopeleka Roho wako, wanaumbwa, nawe huufanya upya uso wa dunia.
to send: depart spirit your to create [emph?] and to renew face: surface land: soil
31 Utukufu wa Bwana na udumu milele, Bwana na azifurahie kazi zake:
to be glory LORD to/for forever: enduring to rejoice LORD in/on/with deed: work his
32 yeye aitazamaye dunia, nayo ikatetemeka, aigusaye milima, nayo ikatoa moshi.
[the] to look to/for land: country/planet and to tremble to touch in/on/with mountain: mount and be angry
33 Nitamwimbia Bwana maisha yangu yote; nitaimba sifa kwa Mungu wangu muda wote ninaoishi.
to sing to/for LORD in/on/with life my to sing to/for God my in/on/with still my
34 Kutafakari kwangu na kumpendeze yeye, ninapofurahi katika Bwana.
to please upon him complaint my I to rejoice in/on/with LORD
35 Lakini wenye dhambi na watoweke katika dunia na waovu wasiwepo tena. Ee nafsi yangu, msifu Bwana. Msifuni Bwana.
to finish sinner from [the] land: country/planet and wicked still nothing they to bless soul my [obj] LORD to boast: praise LORD

< Zaburi 104 >