< Zaburi 104 >

1 Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana. Ee Bwana Mungu wangu, wewe ni mkuu sana, umejivika utukufu na enzi.
【讚美造物的大主】我的靈魂請向上主讚頌!上主我的天主,您偉大無限,您以尊貴威嚴作您的衣冠:身披光明,好像外氅,展開蒼天,相似棚帳,
2 Amejifunika katika nuru kama vile kwa vazi, amezitandaza mbingu kama hema
在水上建築您的宮殿,造了雲彩,作您的車輦,駕御著風翼,馳騁直前;
3 na kuziweka nguzo za orofa yake juu ya maji. Huyafanya mawingu kuwa gari lake, na hupanda kwenye mbawa za upepo.
發出暴風,作您的使團,您以火燄,作您的隨員。
4 Huzifanya pepo kuwa wajumbe wake, miali ya moto watumishi wake.
您奠定大地於基礎之上,您使大地永遠不再動盪;
5 Ameiweka dunia kwenye misingi yake, haiwezi kamwe kuondoshwa.
以汪洋作氅衣把大地遮蓋,又以大水把群山峻嶺掩埋。
6 Uliifunika kwa kilindi kama kwa vazi, maji yalisimama juu ya milima.
您一呵叱,大水即逃避,您一鳴雷,大水即驚退。
7 Lakini kwa kukemea kwako maji yalikimbia, kwa sauti ya radi yako yakatoroka,
峻嶺血上突出,山谷向下沉落,各個都停在您指定的處所。
8 yakapanda milima, yakateremka mabondeni, hadi mahali pale ulipoyakusudia.
您劃定了界限,都不越過,免得大水再把大地淹沒。
9 Uliyawekea mpaka ambao hayawezi kuuvuka, kamwe hayataifunika dunia tena.
您使水泉成為溪川,蜿蜒長流於群山間,
10 Huzifanya chemchemi zimwage maji mabondeni, hutiririka kati ya milima.
供給各種走獸水喝,使野驢也得以解渴。
11 Huwapa maji wanyama wote wa kondeni, punda-mwitu huzima kiu yao.
天上飛鳥,在水邊宿臥,在枝葉痋叢中不斸鳴叫。
12 Ndege wa angani hufanya viota kando ya maji, huimba katikati ya matawi.
您從高樓宮殿上,灌溉山地,以出產的果實,飽飫普世;
13 Huinyeshea milima kutoka orofa zake, dunia inatoshelezwa kwa matunda ya kazi yake.
您使青草和植物生出,餵養牲畜,為給人服務。又使土地產生出五穀,
14 Huyafanya majani ya mifugo yaote, na mimea kwa watu kulima, wajipatie chakula kutoka ardhini:
美酒,人飲了舒暢人神,膏油,人用來塗面潤身,麵餅,人吃了增強人神。
15 divai ya kuufurahisha moyo wa mwanadamu, mafuta kwa ajili ya kungʼarisha uso wake, na mkate wa kutia mwili nguvu.
上主的木喬木飽餐水澤,黎巴嫩香柏,主手所植。
16 Miti ya Bwana inanyeshewa vizuri, mierezi ya Lebanoni aliyoipanda.
鳥類在那裏壘窩築巢,鶴群以樹梢為家安臥。
17 Humo ndege hufanya viota vyao, korongo ana nyumba yake kwenye msunobari.
高山崚嶺作羚羊的洞府,絕壁岩石作野兔的居處。
18 Milima mirefu ni makao ya mbuzi-mwitu, majabali ni kimbilio la pelele.
您造有月亮以定節季,太陽自知向西沉墜。
19 Mwezi hugawanya majira, na jua hutambua wakati wake wa kutua.
您造了黑暗,便有了夜晚,林中的野獸遂四出狂竄。
20 Unaleta giza, kunakuwa usiku, wanyama wote wa mwituni huzurura.
少壯的獅子恕吼覓姇,向天主要求食物充饑;
21 Simba hunguruma kwa mawindo yao, na kutafuta chakula chao kutoka kwa Mungu.
太陽升起的時候,牠們各自逃避,回到自己的洞穴,安然臥下休息;
22 Jua huchomoza, nao huondoka, hurudi na kulala katika mapango yao.
於是人們出外謀生,各去勞動,直到黃昏。
23 Kisha mwanadamu huenda kazini mwake, katika kazi yake mpaka jioni.
上主,您的化工,何其浩繁,全是您以智慧所創辦,您的受造物遍地充滿。
24 Ee Bwana, jinsi matendo yako yalivyo mengi! Kwa hekima ulizifanya zote, dunia imejaa viumbe vyako.
看,汪洋大海,一望無際,其中水族,不可計數,大小生物,浮游不息。
25 Pale kuna bahari, kubwa na yenye nafasi tele, imejaa viumbe visivyo na idadi, vitu vyenye uhai vikubwa na vidogo.
在那裏有舟有船,往來航行,還有您造的鱷魚,遊戲其中。
26 Huko meli huenda na kurudi, pia Lewiathani, uliyemuumba acheze ndani yake.
這一切生物都瞻仰著您,希望您按時給它們飲食。
27 Hawa wote wanakutazamia wewe, uwape chakula chao kwa wakati wake.
您一賜給它們,它們便會收集,您一伸您的手,它們便得飽食。
28 Wakati unapowapa, wanakikusanya, unapofumbua mkono wako, wao wanashibishwa mema.
您若隱藏您的面容,它們便要恐懼,您若停止它們的呼吸,它們就要死去,再回
29 Unapoficha uso wako, wanapata hofu, unapoondoa pumzi yao, wanakufa na kurudi mavumbini.
到它們由灰土出來的那裏去。
30 Unapopeleka Roho wako, wanaumbwa, nawe huufanya upya uso wa dunia.
您一嚧氣萬物創成,您使地面,更新復興。
31 Utukufu wa Bwana na udumu milele, Bwana na azifurahie kazi zake:
願上主的光榮,永世無窮;願上主喜樂,自己的化工!
32 yeye aitazamaye dunia, nayo ikatetemeka, aigusaye milima, nayo ikatoa moshi.
祂一垂視大地,大地抖顫;祂一觸摸群山,群山冒煙。
33 Nitamwimbia Bwana maisha yangu yote; nitaimba sifa kwa Mungu wangu muda wote ninaoishi.
只要我活著,我要歌頌上主,只要我存在.我要詠讚上主。
34 Kutafakari kwangu na kumpendeze yeye, ninapofurahi katika Bwana.
願我的頌詞使祂樂意,我要常在上主內歡喜。
35 Lakini wenye dhambi na watoweke katika dunia na waovu wasiwepo tena. Ee nafsi yangu, msifu Bwana. Msifuni Bwana.
願罪人由地面上滅跡,惡人不再存留於人世!我的靈魂,頌讚上主!阿肋路亞。

< Zaburi 104 >