< Zaburi 103 >
1 Zaburi ya Daudi. Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana. Vyote vilivyomo ndani yangu vilihimidi jina lake takatifu.
Hina Godema nodoma! Na asigi dawa: su amola na esalusu huluane amoga Hina Gode Ea Hadigi Dio amoma nodomu da defea.
2 Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana, wala usisahau wema wake wote,
Na asigi dawa: suga na da Hina Gode Ea Dio nodone gaguia gadosa. Na da Ea asaboi asigi hou, amo hame gogolemu.
3 akusamehe dhambi zako zote, akuponya magonjwa yako yote,
E da na wadela: i hou huluane gogolema: ne olofosa. Amola na olo huluane uhinisisa.
4 aukomboa uhai wako na kaburi, akuvika taji ya upendo na huruma,
E da na bogosa: besa: le gaga: sa. E da nama asigiba: le amola nama gogolema: ne olofosu iabeba: le, na da hahawane bagade.
5 atosheleza mahitaji yako kwa vitu vyema, ili ujana wako uhuishwe kama wa tai.
E da liligi noga: idafa nama baligili iaha. Amaiba: le, na da buhiba agoai gasa bagade ayeligiwane esalumu.
6 Bwana hutenda haki, naye huwapa hukumu ya haki wote wanaoonewa.
Hina Gode da enoga banenesi dunu ilima asigiba: le, ilima moloidafa fofada: su hamosa, amola ilima ilia hamobe defele bidi iaha.
7 Alijulisha Mose njia zake, na wana wa Israeli matendo yake.
E da Ea hamomusa: ilegei amo Mousesema olelei. Amola Ea gasa bagade hamobe hou amo Isala: ili fi dunuma olelei.
8 Bwana ni mwingi wa huruma na mwenye neema; si mwepesi wa hasira, bali amejaa upendo.
Hina Gode da bagadewane asigisa, amola gogolema: ne olofosu hou dawa: E da hedolo hame ougisa. Be E da mae fisili, asigilala.
9 Yeye hatalaumu siku zote, wala haweki hasira yake milele,
E da gagabole sia: sa, be gebewane hame sia: nana. E da wadela: i hou amoma ougili higasa. Be gebewane ougi hame diala.
10 yeye hatutendei kulingana na dhambi zetu wala hatupatilizi kwa kadiri ya maovu yetu.
E da ninia wadela: i hou hamobe amo defele, ninima se dabe hame iaha.
11 Kama vile mbingu zilivyo juu ya dunia sana, ndivyo wema wake ulivyo mwingi kwa wanaomcha;
Mu amo da osobo bagade badilia gadodafa agoane diala. Amola nowa dunu da Hina Godema nodone dawa: sa, Hina Gode da amo sedade defei defele ilima asigisa.
12 kama mashariki ilivyo mbali na magharibi, ndivyo Mungu alivyoziweka dhambi zetu mbali nasi.
Eso mabe gusudili amola eso dabe guma: dini defei, amo defei defele Gode da ninia wadela: i hou hamoi amo ninima fadegale fasisa.
13 Kama baba alivyo na huruma kwa watoto wake, ndivyo Bwana anavyowahurumia wale wanaomcha;
Osobo bagade ada da ea manoma asigibi defele, Gode da Ema nodone dawa: be dunu ilima asigisa.
14 kwa kuwa anajua tulivyoumbwa, anakumbuka kwamba sisi tu mavumbi.
E da nini hahamoiba: le, ninia da: i hodo huluane dawa: Nini da osoboga hamoi, amo Hi dawa:
15 Kuhusu mwanadamu, siku zake ni kama majani, anachanua kama ua la shambani;
Be ninia esalusu da gisi agoai. Ninia da hame nasu sogea agoai heda: le, falegasa.
16 upepo huvuma juu yake nalo hutoweka, mahali pake hapalikumbuki tena.
Amasea, fo da fulabosea, sogea da mini asi dagoi ba: sa. Amola bu hame ba: mu.
17 Lakini kutoka milele hata milele upendo wa Bwana uko kwa wale wamchao, nayo haki yake kwa watoto wa watoto wao:
Be dunu amo da Hina Godema nodone dawa: be, ilia da Ea asigidafa hou eso huluane ba: lalumu. Amola fa: no fifi manebe dunu huluane, amo da Ea Gousa: su hamoi, amola Ea hamoma: ne sia: i, amoma mae fisili fa: no bobogelalebe, ilia da Ea noga: idafa hou ba: lalumu.
18 kwa wale walishikao agano lake na kukumbuka kuyatii mausia yake.
19 Bwana ameweka imara kiti chake cha enzi mbinguni, ufalme wake unatawala juu ya vyote.
Hina Gode da Ea Fisu Hebene ganodini ligisi. E liligi huluanedafa amoma Hina Bagadedafa.
20 Mhimidini Bwana, enyi malaika zake, ninyi mlio mashujaa mnaozitii amri zake, ninyi mnaotii neno lake.
Dilia gasa bagade a: igele dunu, amo da Ea hamoma: ne sia: be nabawane hamosa! Hina Godema nodoma!
21 Mhimidini Bwana, ninyi jeshi lake lote la mbinguni, ninyi watumishi wake mnaofanya mapenzi yake.
Dilia Hebene ganodini esalebe hawa: hamosu dunu, amo da Hina Gode Ea hanai defele hamosa! Hina Godema nodoma!
22 Mhimidini Bwana, kazi zake zote kila mahali katika milki yake. Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana.
Hina Gode Ea hahamoi esalebe liligi huluane, amo da Ea ouligibi soge huluane amo ganodini esalebe! Dilia Hina Godema nodoma! Na asigi dawa: su! Hina Godema nodoma!